Lakini wana JAMII FORUM isije msimlaumu sana huyu Anna Makinda kwani naye anafuata nyayo za baba yake Mwalimu Nyerere ambaye alianza kupandikiza mbegu mbaya za kudharau not only waswahili lakini wana kariakoo kwa ujumla.
Unaposema huyu mama anafuata nyayo za Baba yakeMwalimu Nyerere una maana gani? haya ni matusi makubwa na nadhani kuna haja ya wewe kuwaomba wana JF msamaha..
Unaposema huyu mama anafuata nyayo za Baba yakeMwalimu Nyerere una maana gani? haya ni matusi makubwa na nadhani kuna haja ya wewe kuwaomba wana JF msamaha..