Jinsi nilivyotapeliwa Kariakoo mwaka 2012 (True Story)

Daydream

Member
Oct 26, 2023
58
328
Nakumbuka mwaka 2012 nilifungua biashara ndogo iliyonipelekea kukodi frem itakayonisaidia kufanya biashara yangu.

Kwakua biashara ilikua bado changa nikaona ngoja niende Kariakoo nikanunue Radio (Subwoofer) ya Tshs 150k.

Nilifanikiwa kununua ile Radio kwa Tshs 150k na nikatoka Kariakoo nakurudi nayo nyumbani salama kabisa.

Nilipofika nyumbani nikasema ngoja niifanyie testing ile Radio nikaona haina shida ila tu kwenye upande wa bass ilikua inanichanganya kidogo jinsi ya kufanya setting.

Baada ya kuona setting ya bass inanichanganya nikaona bora nirudi kule Kariakoo kwenye lile duka nililouziwa wakanielekeze kwakua nilipokua naishi na Kariakoo sio mbali sana ni kama dakika 30 kwa daladala.

Nilifika dukani wakanifanyia testing na kunielekeza jinsi ya kuongeza au kupunguza bass ingawa uongezaji wake na upunguzaji ulikua complicated kidogo.

Baada kumaliza testing walinifungia tena kwenye boksi nikaiweka begani ili nielekee kituoni.

Kwakua nilikua nimechoka na ule mzunguko wa nenda rudi kimoyomoyo nikasama nikiona kijana anaebeba mzigo basi nitamlipa ili anibebee hadi stand ya daladala.

Nilipomaliza tu kushuka zile ngazi za duka akatokea kijana mmoja akanambia broh lete nikubee unipoze kidogo, nikamuuliza bei gani akanambia Tshs 300.Nikaona sio mbaya kwani nikimpatia hiyo Tshs 300 nitakua nimepungukiwa nini.

Balaa likaanza nilivyomtwika tu ule mzigo tukaanza kutembea kuelekea kituo cha daladala cha Msimbazi.

Nadhani hakuna asiejua msongamo wa eneo lile la Kariakoo, watu ni wengi sana na kama mko wawili ukijichanganya kidogotu ujue mnapotezana.

Wakati tunatembea kuelekea kituo cha daladala na yule kijana mimi nilikua nyuma yeye mbele na lengo la kukaa nyuma yake ni ili asinipotee machoni (close monitoring) mana simjui.

Wakati tumeongozana akajifanya kama amesimama kidogo kupisha watu sasa mimi nikawa kama hatua tatu mbele yake, ile nageuka tu nyuma sioni mtu aliebeba boksi.

Nikajaribu kutupia jicho kona zote sikumuona na baada ya kama dakika 10 nikakubali tu matokeo kwamba nimeibiwa

Unaweza kujiuliza kwanini nilienda tena Kariakoo ili wakanielekeze jinsi ya kufanya setting ya bass wakati kwenye boksi kulikua na User Manual

Kwakua nilikua na mambo mengi kichwani nikaona kukaa kusoma User Manual itanipotezea tu muda mana nilihisi huenda ile Radio ina shida ndio maana nilifunga tena safari hadi Kariakoo.

Nilikua nasikia tu kwamba Kariakoo watu wanaibiwa sana na siku hiyo ndo ilikua mara yangu ya kwanza kuibiwa eneo lile.

Hakuna sehemu naiheshimu kama Kariakoo na mpaka leo nikienda eneo lile basi nachukua tahadhari kubwa sana, watu wanaibiwa sana.

Je wewe mdau wa JF uliwahi kutapeliwa na ilikua kwa namna gani ?

Karibu
 
Kariakoo ukionekana mtabe ,unapigwa ile ya kikumbo ukishangaa hauna kitu.

Yaani pale Utapigwa tu kwa namna yoyote ile.
 
Nakumbuka mwaka 2012 nilifungua biashara ndogo iliyonipelekea kukodi frem itakayonisaidia kufanya biashara yangu.

Kwakua biashara ilikua bado changa nikaona ngoja niende Kariakoo nikanunue Radio (Subwoofer) ya Tshs 150k.

Nilifanikiwa kununua ile Radio kwa Tshs 150k na nikatoka Kariakoo nakurudi nayo nyumbani salama kabisa.

Nilipofika nyumbani nikasema ngoja niifanyie testing ile Radio nikaona haina shida ila tu kwenye upande wa bass ilikua inanichanganya kidogo jinsi ya kufanya setting.

Baada ya kuona setting ya bass inanichanganya nikaona bora nirudi kule Kariakoo kwenye lile duka nililouziwa wakanielekeze kwakua nilipokua naishi na Kariakoo sio mbali sana ni kama dakika 30 kwa daladala.

Nilifika dukani wakanifanyia testing na kunielekeza jinsi ya kuongeza au kupunguza bass ingawa uongezaji wake na upunguzaji ulikua complicated kidogo.

Baada kumaliza testing walinifungia tena kwenye boksi nikaiweka begani ili nielekee kituoni.

Kwakua nilikua nimechoka na ule mzunguko wa nenda rudi kimoyomoyo nikasama nikiona kijana anaebeba mzigo basi nitamlipa ili anibebee hadi stand ya daladala.

Nilipomaliza tu kushuka zile ngazi za duka akatokea kijana mmoja akanambia broh lete nikubee unipoze kidogo, nikamuuliza bei gani akanambia Tshs 300.Nikaona sio mbaya kwani nikimpatia hiyo Tshs 300 nitakua nimepungukiwa nini.

Balaa likaanza nilivyomtwika tu ule mzigo tukaanza kutembea kuelekea kituo cha daladala cha Msimbazi.

Nadhani hakuna asiejua msongamo wa eneo lile la Kariakoo, watu ni wengi sana na kama mko wawili ukijichanganya kidogotu ujue mnapotezana.

Wakati tunatembea kuelekea kituo cha daladala na yule kijana mimi nilikua nyuma yeye mbele na lengo la kukaa nyuma yake ni ili asinipotee machoni (close monitoring) mana simjui.

Wakati tumeongozana akajifanya kama amesimama kidogo kupisha watu sasa mimi nikawa kama hatua tatu mbele yake, ile nageuka tu nyuma sioni mtu aliebeba boksi.

Nikajaribu kutupia jicho kona zote sikumuona na baada ya kama dakika 10 nikakubali tu matokeo kwamba nimeibiwa

Unaweza kujiuliza kwanini nilienda tena Kariakoo ili wakanielekeze jinsi ya kufanya setting ya bass wakati kwenye boksi kulikua na User Manual

Kwakua nilikua na mambo mengi kichwani nikaona kukaa kusoma User Manual itanipotezea tu muda mana nilihisi huenda ile Radio ina shida ndio maana nilifunga tena safari hadi Kariakoo.

Nilikua nasikia tu kwamba Kariakoo watu wanaibiwa sana na siku hiyo ndo ilikua mara yangu ya kwanza kuibiwa eneo lile.

Hakuna sehemu naiheshimu kama Kariakoo na mpaka leo nikienda eneo lile basi nachukua tahadhari kubwa sana, watu wanaibiwa sana.

Je wewe mdau wa JF uliwahi kutapeliwa na ilikua kwa namna gani ?

Karibu
Du, ulikuwa kama wazee wa kijijini. Ku-set bass mpaka urudishe dukani? Umenikumbusha miaka ya nyuma mjomba alikuwa na zile redio cassette za zamani hizo. Nyumba nzima hakuna aliyekuwa anaweza kuitumia isipokuwa yeye.
 
Sijawahi ibia mpaka saivi, mara nyingi nachofanya kama nataka kununua kitu ambacho Sina uelewa mpana hua naenda kwenye maduka ya marafiki zangu na wao wakiwa na shida na ambacho nadeal nacho wananiona nawafanyia fair
 
Nakumbuka mwaka 2012 nilifungua biashara ndogo iliyonipelekea kukodi frem itakayonisaidia kufanya biashara yangu.

Kwakua biashara ilikua bado changa nikaona ngoja niende Kariakoo nikanunue Radio (Subwoofer) ya Tshs 150k.

Nilifanikiwa kununua ile Radio kwa Tshs 150k na nikatoka Kariakoo nakurudi nayo nyumbani salama kabisa.

Nilipofika nyumbani nikasema ngoja niifanyie testing ile Radio nikaona haina shida ila tu kwenye upande wa bass ilikua inanichanganya kidogo jinsi ya kufanya setting.

Baada ya kuona setting ya bass inanichanganya nikaona bora nirudi kule Kariakoo kwenye lile duka nililouziwa wakanielekeze kwakua nilipokua naishi na Kariakoo sio mbali sana ni kama dakika 30 kwa daladala.

Nilifika dukani wakanifanyia testing na kunielekeza jinsi ya kuongeza au kupunguza bass ingawa uongezaji wake na upunguzaji ulikua complicated kidogo.

Baada kumaliza testing walinifungia tena kwenye boksi nikaiweka begani ili nielekee kituoni.

Kwakua nilikua nimechoka na ule mzunguko wa nenda rudi kimoyomoyo nikasama nikiona kijana anaebeba mzigo basi nitamlipa ili anibebee hadi stand ya daladala.

Nilipomaliza tu kushuka zile ngazi za duka akatokea kijana mmoja akanambia broh lete nikubee unipoze kidogo, nikamuuliza bei gani akanambia Tshs 300.Nikaona sio mbaya kwani nikimpatia hiyo Tshs 300 nitakua nimepungukiwa nini.

Balaa likaanza nilivyomtwika tu ule mzigo tukaanza kutembea kuelekea kituo cha daladala cha Msimbazi.

Nadhani hakuna asiejua msongamo wa eneo lile la Kariakoo, watu ni wengi sana na kama mko wawili ukijichanganya kidogotu ujue mnapotezana.

Wakati tunatembea kuelekea kituo cha daladala na yule kijana mimi nilikua nyuma yeye mbele na lengo la kukaa nyuma yake ni ili asinipotee machoni (close monitoring) mana simjui.

Wakati tumeongozana akajifanya kama amesimama kidogo kupisha watu sasa mimi nikawa kama hatua tatu mbele yake, ile nageuka tu nyuma sioni mtu aliebeba boksi.

Nikajaribu kutupia jicho kona zote sikumuona na baada ya kama dakika 10 nikakubali tu matokeo kwamba nimeibiwa

Unaweza kujiuliza kwanini nilienda tena Kariakoo ili wakanielekeze jinsi ya kufanya setting ya bass wakati kwenye boksi kulikua na User Manual

Kwakua nilikua na mambo mengi kichwani nikaona kukaa kusoma User Manual itanipotezea tu muda mana nilihisi huenda ile Radio ina shida ndio maana nilifunga tena safari hadi Kariakoo.

Nilikua nasikia tu kwamba Kariakoo watu wanaibiwa sana na siku hiyo ndo ilikua mara yangu ya kwanza kuibiwa eneo lile.

Hakuna sehemu naiheshimu kama Kariakoo na mpaka leo nikienda eneo lile basi nachukua tahadhari kubwa sana, watu wanaibiwa sana.

Je wewe mdau wa JF uliwahi kutapeliwa na ilikua kwa namna gani ?

Karibu
Kariakoo kulikuwa na kitu kinaitwa "Kanyaboya". Jamaa wabaya sana. Mtu alikuwa anauziwa na kufungiwa viatu akifika nyumbani anakuta kwenye box kuna chupa ya chai iliyoharibika.
 
Nakumbuka mwaka 2012 nilifungua biashara ndogo iliyonipelekea kukodi frem itakayonisaidia kufanya biashara yangu.

Kwakua biashara ilikua bado changa nikaona ngoja niende Kariakoo nikanunue Radio (Subwoofer) ya Tshs 150k.

Nilifanikiwa kununua ile Radio kwa Tshs 150k na nikatoka Kariakoo nakurudi nayo nyumbani salama kabisa.

Nilipofika nyumbani nikasema ngoja niifanyie testing ile Radio nikaona haina shida ila tu kwenye upande wa bass ilikua inanichanganya kidogo jinsi ya kufanya setting.

Baada ya kuona setting ya bass inanichanganya nikaona bora nirudi kule Kariakoo kwenye lile duka nililouziwa wakanielekeze kwakua nilipokua naishi na Kariakoo sio mbali sana ni kama dakika 30 kwa daladala.

Nilifika dukani wakanifanyia testing na kunielekeza jinsi ya kuongeza au kupunguza bass ingawa uongezaji wake na upunguzaji ulikua complicated kidogo.

Baada kumaliza testing walinifungia tena kwenye boksi nikaiweka begani ili nielekee kituoni.

Kwakua nilikua nimechoka na ule mzunguko wa nenda rudi kimoyomoyo nikasama nikiona kijana anaebeba mzigo basi nitamlipa ili anibebee hadi stand ya daladala.

Nilipomaliza tu kushuka zile ngazi za duka akatokea kijana mmoja akanambia broh lete nikubee unipoze kidogo, nikamuuliza bei gani akanambia Tshs 300.Nikaona sio mbaya kwani nikimpatia hiyo Tshs 300 nitakua nimepungukiwa nini.

Balaa likaanza nilivyomtwika tu ule mzigo tukaanza kutembea kuelekea kituo cha daladala cha Msimbazi.

Nadhani hakuna asiejua msongamo wa eneo lile la Kariakoo, watu ni wengi sana na kama mko wawili ukijichanganya kidogotu ujue mnapotezana.

Wakati tunatembea kuelekea kituo cha daladala na yule kijana mimi nilikua nyuma yeye mbele na lengo la kukaa nyuma yake ni ili asinipotee machoni (close monitoring) mana simjui.

Wakati tumeongozana akajifanya kama amesimama kidogo kupisha watu sasa mimi nikawa kama hatua tatu mbele yake, ile nageuka tu nyuma sioni mtu aliebeba boksi.

Nikajaribu kutupia jicho kona zote sikumuona na baada ya kama dakika 10 nikakubali tu matokeo kwamba nimeibiwa

Unaweza kujiuliza kwanini nilienda tena Kariakoo ili wakanielekeze jinsi ya kufanya setting ya bass wakati kwenye boksi kulikua na User Manual

Kwakua nilikua na mambo mengi kichwani nikaona kukaa kusoma User Manual itanipotezea tu muda mana nilihisi huenda ile Radio ina shida ndio maana nilifunga tena safari hadi Kariakoo.

Nilikua nasikia tu kwamba Kariakoo watu wanaibiwa sana na siku hiyo ndo ilikua mara yangu ya kwanza kuibiwa eneo lile.

Hakuna sehemu naiheshimu kama Kariakoo na mpaka leo nikienda eneo lile basi nachukua tahadhari kubwa sana, watu wanaibiwa sana.

Je wewe mdau wa JF uliwahi kutapeliwa na ilikua kwa namna gani ?

Karibu
Pole sanaaa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Du, ulikuwa kama wazee wa kijijini. Ku-set bass mpaka urudishe dukani? Umenikumbusha miaka ya nyuma mjomba alikuwa na zile redio cassette za zamani hizo. Nyumba nzima hakuna aliyekuwa anaweza kuitumia isipokuwa yeye.
wala simshangai jamaa hata mm nilishawah nunua homethieta nikajaribu kuseti lkn ilinipa hofu labd ni mbovu nikaamua kuirudisha dukan kupata uhakika kwel ni mbovu au ni setting tu na kwel ilikuw mbovu...kwahy mm jamaa namuelewa vzr wala siwez mshangaa kwann alirud karakoo
 
Nakumbuka mwaka 2012 nilifungua biashara ndogo iliyonipelekea kukodi frem itakayonisaidia kufanya biashara yangu.

Kwakua biashara ilikua bado changa nikaona ngoja niende Kariakoo nikanunue Radio (Subwoofer) ya Tshs 150k.

Nilifanikiwa kununua ile Radio kwa Tshs 150k na nikatoka Kariakoo nakurudi nayo nyumbani salama kabisa.

Nilipofika nyumbani nikasema ngoja niifanyie testing ile Radio nikaona haina shida ila tu kwenye upande wa bass ilikua inanichanganya kidogo jinsi ya kufanya setting.

Baada ya kuona setting ya bass inanichanganya nikaona bora nirudi kule Kariakoo kwenye lile duka nililouziwa wakanielekeze kwakua nilipokua naishi na Kariakoo sio mbali sana ni kama dakika 30 kwa daladala.

Nilifika dukani wakanifanyia testing na kunielekeza jinsi ya kuongeza au kupunguza bass ingawa uongezaji wake na upunguzaji ulikua complicated kidogo.

Baada kumaliza testing walinifungia tena kwenye boksi nikaiweka begani ili nielekee kituoni.

Kwakua nilikua nimechoka na ule mzunguko wa nenda rudi kimoyomoyo nikasama nikiona kijana anaebeba mzigo basi nitamlipa ili anibebee hadi stand ya daladala.

Nilipomaliza tu kushuka zile ngazi za duka akatokea kijana mmoja akanambia broh lete nikubee unipoze kidogo, nikamuuliza bei gani akanambia Tshs 300.Nikaona sio mbaya kwani nikimpatia hiyo Tshs 300 nitakua nimepungukiwa nini.

Balaa likaanza nilivyomtwika tu ule mzigo tukaanza kutembea kuelekea kituo cha daladala cha Msimbazi.

Nadhani hakuna asiejua msongamo wa eneo lile la Kariakoo, watu ni wengi sana na kama mko wawili ukijichanganya kidogotu ujue mnapotezana.

Wakati tunatembea kuelekea kituo cha daladala na yule kijana mimi nilikua nyuma yeye mbele na lengo la kukaa nyuma yake ni ili asinipotee machoni (close monitoring) mana simjui.

Wakati tumeongozana akajifanya kama amesimama kidogo kupisha watu sasa mimi nikawa kama hatua tatu mbele yake, ile nageuka tu nyuma sioni mtu aliebeba boksi.

Nikajaribu kutupia jicho kona zote sikumuona na baada ya kama dakika 10 nikakubali tu matokeo kwamba nimeibiwa

Unaweza kujiuliza kwanini nilienda tena Kariakoo ili wakanielekeze jinsi ya kufanya setting ya bass wakati kwenye boksi kulikua na User Manual

Kwakua nilikua na mambo mengi kichwani nikaona kukaa kusoma User Manual itanipotezea tu muda mana nilihisi huenda ile Radio ina shida ndio maana nilifunga tena safari hadi Kariakoo.

Nilikua nasikia tu kwamba Kariakoo watu wanaibiwa sana na siku hiyo ndo ilikua mara yangu ya kwanza kuibiwa eneo lile.

Hakuna sehemu naiheshimu kama Kariakoo na mpaka leo nikienda eneo lile basi nachukua tahadhari kubwa sana, watu wanaibiwa sana.

Je wewe mdau wa JF uliwahi kutapeliwa na ilikua kwa namna gani ?

Karibu
Nimeishi sana kariakoo sijui uniambie wapi nisipo pajua....

Kariakoo Kuna watu waaminifu sanaa ila pia wapo hao wazee wa kazi chafu

Very sorry for your Loss
 
Ila ulizingua aisee, uvivu wako wa kijinga ulikuponza.

Sehemu kama kariakoo hutakiwi kumuamini mtu kabisa.

Kua busy na kilichokupeleka, fanya then geuka usepe.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Back
Top Bottom