Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,508
Umenena vema Mkandara.
Kwanza kabisa huyu mwanzisha mada ametaka kulikuza sana hili jambo! Spika hakuwatukana watu wa kariakoo hata kidogo!
Kwamba watu wasifanye kama wako kariakoo, ni msemo tu. Nani asiyejua sokoni kulivyo na makele - soko lolote lile lina kelele.Kariakoo ni soko kubwa na kelele zake zinajulikana.Sasa huyu anayeleta hii mada kutaka kugombanisha watu kwa UDINI na UKABILA sidhani ni muungwana.
JF istumiwe vibaya kuzalisha chuki miongoni mwa watu.ACHENI HIZO TAFUTENI JINGINE MAANA KARIBUNI MMEJITAHIDI SANA KUWAVUNJIA HESHIMA VIONGOZI NA HASA WALIOTANGULIA KAMA MWALIMU NYERERE N.K. KWANI MKISHACHONGANISHA WANANCHI NA KUCHOCHEA CHUKI MTAFAIDIKA NINI?
Kinachompoza madam spika ni hili jina la ANNA, lakini angekuwa anaitwa Sikuzani au sikitu au Mwazani au Sikujuwa, porojo za hawa waswahili usingezisikia. Ndio maana Ditopile ndio binadamu wa kwanza Tanzania hii kupewa dhamana na mahakama zetu huku akiwa na kesi ya mauwaji.