Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 4,795
- 5,984
Police force(force=nguvu), jiandae kukumbana na nguvu pale inapobidi... Hakuna namnaAskari wetu hawafuati hizi sheria sio kwa kosa lao, hapa ntailaumu serikali, maaskari wanapata mafunzo ya ovyo, wanarush~rush tu then wanaingia kazini, wangekua wanafundishwa vizuri hizi sheria na kuzikazia ili umuhimu wake uonekane wangezifata, tena walitakiwa wachukuliwe hatua za kisheria kama wataenda kinyume, maaskari wangezifata hizi kirahisi tu. Watu nao inabidi watangaziwe hata kwenye tv mara kwa mara wajue, na iwepo institution ya kuwatetea wananchi ambao wamekua victims wa askari wasiofuata sheria.
Serikali yetu kama sasa hivi inakaribia kua ka ya kidikteta hili haliwezekani, kauli za "kamata kwanza tutafix baadaye" hizi sheria zitabaki kwenye karatasi tu.