Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 6,195
- 46,806
Naona kila kona vituo vya polisi vimeandikwa " Kituo cha Polisi" kisha kufuatiwa na jina la mahala lilipo.
Sasa swali la kujiuliza, raia anamfuata polisi ama usalama wake pamoja na mali zake.
Nashauri vibadilishwe majina na kuitwa vituo vya usalama wa raia na mali zake.
Hii iitaboresha uhusiano kati ya raia na polisi.
Kituo ni mahala pa kupata usalama na sio kukutana na polisi
Ova.
Sasa swali la kujiuliza, raia anamfuata polisi ama usalama wake pamoja na mali zake.
Nashauri vibadilishwe majina na kuitwa vituo vya usalama wa raia na mali zake.
Hii iitaboresha uhusiano kati ya raia na polisi.
Kituo ni mahala pa kupata usalama na sio kukutana na polisi
Ova.