Mkuu pale yeye ni vengu(usanii) na si joseph shamba(halisi) hawezi kumzihaki akiwa kama joseph lakini akiwa kama vengu ni rahisi kufanya usanii wa maigizo
Kuingiliwa kinyume na maumbile:lying:
Wana Jukwaa!!! Hivi yule selebu maarufu wa kundi la vichekesho la ORIJINO KOMEDI, JOSEPH SHAMBA yu wapi siku hizi? Maana ni muda mrefu nafuatilia vipindi vya komedians hao na simuoni. Pia hata katika ziara zao za mikoani pia haambatani na kundi hilo mahiri
Kuingiliwa kinyume na maumbile:lying: