This is a call, kama tuna utu, tunaweza kuanzia hapa kwa kuchanga chochote kuokoa maisha ya binadamu mwenzetu. An account can be opened na kuanza kuchangia au through his collegues, au ndugu wakaribu sina uzoefu wa hivyo lakini naona watu wengi wakifanya hivyo. Kama tuna moyo tunaweza okoa maisha yake. I already pledge 500,000, sijui jinsi ya kuwsilisha. Today its him tomorrow it can be you.
Ni kweli mkuu ila Wanajf tuache kumchulia kifo Vengu,TBC wametangaza sasa hv kuwa ni mzima ingawa hajapona! Tumechoka na tetesi zinazogusa uhai wa mtu.kama huna source ya habari usiweke humu tetesi za kuchulia mtu kifo eti nimesikia!! Kwa habari za kifo no source usipost upupu!Huyo dogo ana zaidi ya miezi mitatu yupo muhimbili ICU anaumwa , hali yake si nzuri kabisa, last month hata mh. ****** alipita kukjulia hali MNH na karibu media nyingi zililipoti hali ya huyo dogo, inaelekea wachangiaji wa forum hii wote mnapata updates humu ndani pekee ndio maana hata kinachoendelea kwa dogo hamjui, kwa ujumla kwa sasa dogo anapambana na mtoa roho ili kurudia hali yake ya zamani kwani hata kumbukumbu alishapoteza (hana fahamu)
Mkwer3 anatizama kwa Kinyaa flan Pengine magonjwa ya kuambikiza!mwenzetu ndo huyo ameisha mwili wote
Masanja ndie alikuwa akimla mwenzie