Shule za kata hazikuanza 2005; wazo la shule za kata liliainishwa katika mpango wa national poverty strategy wa mwaka 1998. Hizo shule zilianza kujengwa kipindi cha rais Mkapa.
Zoezi hilo liliongezwa nguvu na ujio wa serikali ya awamu ya nne ambapo PM Lowassa alilifanya moja ya mipango yake na shule za kata zikaanza kujengwa kwa wingi. Kati ya shule za kata zilizopo sasa, karibu asilimia 25 zilianza kabla ya mwaka 2006.
Mkuu wengi ni watoto wadogo akili zao wamezipata miaka hiyo2005,hawajuhi lolote la nyuma ya hapo