Joseph Selasini, a Square peg in a Round hole?

mkuu ngongo.... kinachonifurahisha sana ni hii trade mark ya font type unayoitumia ..... unless otherwise ... business as usual

Heshima kwako LAT,

Mkuu kinachonifurahisha sana ni mtindo uliozuka na kuanza kuota mizizi ya kuwatetea viongozi wa CHADEMA hata inapodhihirika dhahiri wamekosea wanzuka maafisa habari from no where kupinga, kukanusha na kupotosha ili kumlinda na kumjenga kisiasa mkosaji ilimradi awe ni ..........


Inawezekana unapenda kusikia habari unazopenda kuzisikia huu ni ugonjwa wa watawala wengi hasa Afrika ni ajabu kidogo ugonjwa huu umeanza kuwaingia taratibu wananchi wa kawaida sijui wewe upo katika kundi hilo ??????.Kuna utaratibu unaoaanza kuzoeleka na kuonekana kama jambo la kawaida hapa JF kusiafia jambo la hovyo mradi tu liwelinafungamana na chama fulani.....

Mkuu LAT utanisamehe sana siwezi kusifia jambo ambalo naamini haliko sawa sawa.
 
Heshima kwako LAT,

Mkuu kinachonifurahisha sana ni mtindo uliozuka na kuanza kuota mizizi ya kuwatetea viongozi wa CHADEMA hata inapodhihirika dhahiri wamekosea wanzuka maafisa habari from no where kupinga, kukanusha na kupotosha ili kumlinda na kumjenga kisiasa mkosaji ilimradi awe ni ..........


Inawezekana unapenda kusikia habari unazopenda kuzisikia huu ni ugonjwa wa watawala wengi hasa Afrika ni ajabu kidogo ugonjwa huu umeanza kuwaingia taratibu wananchi wa kawaida sijui wewe upo katika kundi hilo ??????.Kuna utaratibu unaoaanza kuzoeleka na kuonekana kama jambo la kawaida hapa JF kusiafia jambo la hovyo mradi tu liwelinafungamana na chama fulani.....

Mkuu LAT utanisamehe sana siwezi kusifia jambo ambalo naamini haliko sawa sawa.

mkuu ngongo ... neno umesema .... pia lazima uwe pande zote na kutambua kwamba love is blind
 
Mbunge huyu wa chadema apingana na sera za chadema bungeni. Amesema;

1. Shule za kata ni nzuri kwa sababu kuna vijana wake wamefika chuo kikuu kupitia shule za kata (hajali wamejifunza nini)

2. Amepongeza serikali kwamba imefanya mambo mengi sana kuleta maendeleo ya nchi hii

3. Asema uchaguzi ulikuwa huru na haki

4. Asema wanafunzi wa vyuo vikuu wasijihusishe na siasa, wakati Chadema ina mkakati wa kujiuza vyuo vikuu na wameanzia Makumira

(Maana ya "square peg in a round hole" kwa mujibu wa Oxford Advanced Learner's Dictionary sixth edition ni, "a person who does not feel happy or comfortable in a particular situation, or who is not suitable for it")

Mie nilifikiri huyu anacheza gofu na mpira wa square. toba!
 
Huyu ndio alimng'oa Mramba kule Rombo.

Wananchi walimpigia kura za HASIRA baada ya Mramba kuwatukana kina mama wa Rombo.

Sasa yupi afadhali, huyu au Mramba?
Mramba hakushinda party nomination ya CCM ndo maana kwa hasira ya Wanavijiji akapigiwa kura za kutoswa na hapo ndipo Selasini alipenyea kwa mujibu wa UWT. BTW babake Selasini ambaye ni babake na Lamwai pia ni Mwenyekiti na kada maarufu wa CCM Rombo! pateni picha
 
Mbunge huyu wa chadema apingana na sera za chadema bungeni. Amesema;

1. Shule za kata ni nzuri kwa sababu kuna vijana wake wamefika chuo kikuu kupitia shule za kata (hajali wamejifunza nini)

2. Amepongeza serikali kwamba imefanya mambo mengi sana kuleta maendeleo ya nchi hii

3. Asema uchaguzi ulikuwa huru na haki

4. Asema wanafunzi wa vyuo vikuu wasijihusishe na siasa, wakati Chadema ina mkakati wa kujiuza vyuo vikuu na wameanzia Makumira

(Maana ya "square peg in a round hole" kwa mujibu wa Oxford Advanced Learner's Dictionary sixth edition ni, "a person who does not feel happy or comfortable in a particular situation, or who is not suitable for it")

Nina wasiwasi na AKILI yake, kama si aliki mbovu basi yeye Bado ni KADA na sio KAMANDA, anakurupuka ili aonekane hewani si alikua anajua yuko laiv, Nijuavvyo mimi HAKUNA MWANAFUNZI HATA MMOJA WA KATA aliyefika chuo kikuu, sasa hawo wa kwake labda misukule, naamini serikali imeanya mambo mengi ila si ya kuleta maendeleo, APELEKE HOJA BINAFSI BAADHI YA KOZI ZA CHUO KIKUU ZIFUTWE KWA KUWA ZINA UHUSIANO WA MOJA KWA MOJA NA SIASA.

RAI kwa Uongozi wa Chadema mtu huyu(SELASINI) kimeo hana viwango vya kuwa CHADEMA anazungumza upupu kama vipi mtimueni
 
Nina wasiwasi na AKILI yake, kama si aliki mbovu basi yeye Bado ni KADA na sio KAMANDA, anakurupuka ili aonekane hewani si alikua anajua yuko laiv, Nijuavvyo mimi HAKUNA MWANAFUNZI HATA MMOJA WA KATA aliyefika chuo kikuu, sasa hawo wa kwake labda misukule, naamini serikali imeanya mambo mengi ila si ya kuleta maendeleo, APELEKE HOJA BINAFSI BAADHI YA KOZI ZA CHUO KIKUU ZIFUTWE KWA KUWA ZINA UHUSIANO WA MOJA KWA MOJA NA SIASA.

RAI kwa Uongozi wa Chadema mtu huyu(SELASINI) kimeo hana viwango vya kuwa CHADEMA anazungumza upupu kama vipi mtimueni

Rombo District: Shining example in ward secondary schools
DEOGRATIAS MUSHI, 17th September 2010 @ 05:59, Total Comments: 0, Hits: 871

John Mrosso (54) a resident of Shimbi village in Mkuu Division, Rombo District in Kilimanjaro region lauds the government for introducing ward secondary schools in his area. Mr Mrosso says that two of his children have studied at Kisali Secondary School while the rest went to Matolo and Horombo Secondary Schools respectively, all located in Rombo.

The children later join advanced secondary schools in other regions of the country, before they were admitted to universities and colleges for undergraduate studies in the country. These children could not have gone that far, because their father is a simple coffee and maize farmer who could hardly afford fees charged by private secondary schools in Kilimanjaro region. Mr Mrosso is not alone in this jubilation.

A score of parents in Rombo district admit that ward secondary schools have been of great help to them. John Mrema is another parent in the district, says his two children studied at Mkuu secondary school and are now supporting him after graduating as teacher and nurse respectively. "At the beginning I thought I could not afford but thank God I have managed to educate my children.

I thank the district authorities for encouraging me in this endeouver," says Mrema. Since parents in Rombo support the idea of building more schools, building of new classrooms and laboratories has smoothly been implemented as parents respond positively when approached for contributions. Such efforts have enabled the government in collaboration with local residents to build more secondary schools in Rombo district – from eight in 2005 to 41 (this year) all with enough classrooms, laboratories and desks.

"This is a great achievement because parents support government's efforts in building more schools equipped with enough teachers and classrooms" Mr Peter Toima, Rombo District Commissioner, says. Mr Toima compares his current role in Rombo to Ukerewe and Tunduru
districts where he worked before; saying people in Rombo are development– conscious. Rombo district has two "A" level secondary schools which are government owned, compared to three which run by parents' wing of the ruling CCM and the Catholic Church respectively.

According to Mr Toima each secondary school in Rombo has an average of 10 teachers, and in total the district has 355 secondary school teachers. If the district could get more 365 teachers, then the district could have enough teachers for its schools. Despite this shortage, Mr Toima explains the immediate measures that have been taken by the district to solve the problem of teachers. He says the district has established a special agreement with some universities and teacher training colleges throughout the country, whereby the district gets Block Teaching Practices (BTP) teachers from them every year.

"This year we had students from Dar es Salaam University College of Education (DUCE) who spent several months teaching in different secondary schools in the district" says Mr Toima, adding that they had been helpful to students and others have even promised to come and teach in Rombo after graduating. There is a special arrangement whereby students from Rombo district studying in different colleges in the country are engaged in teaching practices during holidays. This trend has reduced the problem of teachers in most ward secondary schools, according to the DC.

But why is Rombo district is a step further in education than other districts? Certainly, the availability of teachers' houses helps a lot in retaining teachers in the district. Though ward schools strive to erect teachers' quarters, private houses with good facilities like electricity, water and toilets are also rented at affordable fees. "People from Rombo District who work in urban areas like Dar es Salaam, Arusha, Moshi and Dodoma have constructed good houses which they occupy only during Christmas time.

These houses are rented by teachers and other civil servants working in the district" says Mr Toima. The district's administration is pleased to see how ward secondary schools perform, compared to old secondary schools such as Lyamungo, Moshi, Machame, Ashira, Moshi Technical and Weruweru secondary schools. For example, the 2009 national form four examination results, Kisale- a ward secondary school in Rombo district led the chart in all government secondary school.

Almost half of the candidates were selected to join Form Five. Mr Toima explains that the Kilimanjaro National Park (TANAPA) in collaboration with Rombo District Council have entered into an agreement where the former will support the construction of a laboratory at Kisale secondary school and a social hall at Olele secondary school. Another area of concentration where Rombo District authorities have laid strong foundations is the improvement of primary schools.

Registration of Standard One pupils has gone down in Rombo district from 68, 459 in 2005 to 57,040 in 2010, thanks to family planning education programme that has enabled an ordinary family to have three children this year compared to five in 2005. Thus, primary school enrollment has gone down from 106 per cent in 2005 to 99 per cent this year. The total number of teachers has gone up in the district from 1,347 in 2005 to 1,460 this year. Teachers' houses have increased from 133 in 2005 to 230 this year.

What pleases many residents in Rombo district is that the total number of students selected to join Form One has increased from 68 per cent in 2005 to 100 per cent in 2010, thanks to ward leaders that have constructed an average of two secondary schools in every ward. This means all pupils who are selected to join form one in the district can find space in ward secondary schools. A special district committee is foreseeing the implementation of this mandate.

Performance of secondary school students in Rombo is expected to double when Marangu-Tarakea- Kamwanga road is completed. It will enable students and teachers arrive at school on time. The construction is near completion. Basil Mramba, the incumbent MP for Rombo constituency and vying for re-election the ruling CCM ticket,is optimistic that the ward secondary schools in Rombo District will soon improve, through a plan to build laboratories in all schools.

His rival Joseph Selasini who is contesting the same seat on CHADEMA ticket says he has plans to get the district more teachers if he wins the October 31, 2010 general elections.
Rombo remains one of the districts in the country whose people are development-conscious with plans to improve people's socio-economic conditions.
Daily News | Rombo District: Shining example in ward secondary schools

MY TAKE:
Hiyo article hapo juu inamzuzua na tujiulize hayo mafanikio anayojitamba nayo ni kazi ya mikono yake au ameyakuta kuna mafumbo mengi sana huko! For me huyu jamaa hakushinda for merits ila ni circumstances zilizomuwezesha kulinyakua hilo jimbo!
 
Rombo ukiijumlishia Lamwai jibu lake utapata ni Selasini.
.
 
yote aliozungumza selasini shauri yake lakini hila na wanafunzi wa kata kufika chuo kikuu ndo limeniumiza, kwani shule hizi zimeanza 2005 hvyo 2009 product ya kwanza ikatoka sasa toka 2009 mpaka mwaka huu kweli wamefika chuo kikuu lini?? hata kama wamefika chuo kikuu basi ni asilimia robo tu ya wanafunzi wote je? hawa wengine selasin anajua walipoishia???

Kikwete amechaguliwa kwa mara ya kwanza mwishoni mwa 2005 na shule za kata zikaanza 2006 nyingine April, nyingine July kwa mchujo wa pili wa waliohitimu Std VII 2005. Intake ya kwanza kama walivuka Form IV watakuwa wanajiandaa kuingia Form VI
 
Rombo District: Shining example in ward secondary schools
DEOGRATIAS MUSHI, 17th September 2010 @ 05:59, Total Comments: 0, Hits: 871

John Mrosso (54) a resident of Shimbi village in Mkuu Division, Rombo District in Kilimanjaro region lauds the government for introducing ward secondary schools in his area. Mr Mrosso says that two of his children have studied at Kisali Secondary School while the rest went to Matolo and Horombo Secondary Schools respectively, all located in Rombo.

The children later join advanced secondary schools in other regions of the country, before they were admitted to universities and colleges for undergraduate studies in the country. These children could not have gone that far, because their father is a simple coffee and maize farmer who could hardly afford fees charged by private secondary schools in Kilimanjaro region. Mr Mrosso is not alone in this jubilation.

A score of parents in Rombo district admit that ward secondary schools have been of great help to them. John Mrema is another parent in the district, says his two children studied at Mkuu secondary school and are now supporting him after graduating as teacher and nurse respectively. "At the beginning I thought I could not afford but thank God I have managed to educate my children.

I thank the district authorities for encouraging me in this endeouver," says Mrema. Since parents in Rombo support the idea of building more schools, building of new classrooms and laboratories has smoothly been implemented as parents respond positively when approached for contributions. Such efforts have enabled the government in collaboration with local residents to build more secondary schools in Rombo district – from eight in 2005 to 41 (this year) all with enough classrooms, laboratories and desks.

"This is a great achievement because parents support government's efforts in building more schools equipped with enough teachers and classrooms" Mr Peter Toima, Rombo District Commissioner, says. Mr Toima compares his current role in Rombo to Ukerewe and Tunduru
districts where he worked before; saying people in Rombo are development– conscious. Rombo district has two "A" level secondary schools which are government owned, compared to three which run by parents' wing of the ruling CCM and the Catholic Church respectively.

According to Mr Toima each secondary school in Rombo has an average of 10 teachers, and in total the district has 355 secondary school teachers. If the district could get more 365 teachers, then the district could have enough teachers for its schools. Despite this shortage, Mr Toima explains the immediate measures that have been taken by the district to solve the problem of teachers. He says the district has established a special agreement with some universities and teacher training colleges throughout the country, whereby the district gets Block Teaching Practices (BTP) teachers from them every year.

"This year we had students from Dar es Salaam University College of Education (DUCE) who spent several months teaching in different secondary schools in the district" says Mr Toima, adding that they had been helpful to students and others have even promised to come and teach in Rombo after graduating. There is a special arrangement whereby students from Rombo district studying in different colleges in the country are engaged in teaching practices during holidays. This trend has reduced the problem of teachers in most ward secondary schools, according to the DC.

But why is Rombo district is a step further in education than other districts? Certainly, the availability of teachers' houses helps a lot in retaining teachers in the district. Though ward schools strive to erect teachers' quarters, private houses with good facilities like electricity, water and toilets are also rented at affordable fees. "People from Rombo District who work in urban areas like Dar es Salaam, Arusha, Moshi and Dodoma have constructed good houses which they occupy only during Christmas time.

These houses are rented by teachers and other civil servants working in the district" says Mr Toima. The district's administration is pleased to see how ward secondary schools perform, compared to old secondary schools such as Lyamungo, Moshi, Machame, Ashira, Moshi Technical and Weruweru secondary schools. For example, the 2009 national form four examination results, Kisale- a ward secondary school in Rombo district led the chart in all government secondary school.

Almost half of the candidates were selected to join Form Five. Mr Toima explains that the Kilimanjaro National Park (TANAPA) in collaboration with Rombo District Council have entered into an agreement where the former will support the construction of a laboratory at Kisale secondary school and a social hall at Olele secondary school. Another area of concentration where Rombo District authorities have laid strong foundations is the improvement of primary schools.

Registration of Standard One pupils has gone down in Rombo district from 68, 459 in 2005 to 57,040 in 2010, thanks to family planning education programme that has enabled an ordinary family to have three children this year compared to five in 2005. Thus, primary school enrollment has gone down from 106 per cent in 2005 to 99 per cent this year. The total number of teachers has gone up in the district from 1,347 in 2005 to 1,460 this year. Teachers' houses have increased from 133 in 2005 to 230 this year.

What pleases many residents in Rombo district is that the total number of students selected to join Form One has increased from 68 per cent in 2005 to 100 per cent in 2010, thanks to ward leaders that have constructed an average of two secondary schools in every ward. This means all pupils who are selected to join form one in the district can find space in ward secondary schools. A special district committee is foreseeing the implementation of this mandate.

Performance of secondary school students in Rombo is expected to double when Marangu-Tarakea- Kamwanga road is completed. It will enable students and teachers arrive at school on time. The construction is near completion. Basil Mramba, the incumbent MP for Rombo constituency and vying for re-election the ruling CCM ticket,is optimistic that the ward secondary schools in Rombo District will soon improve, through a plan to build laboratories in all schools.

His rival Joseph Selasini who is contesting the same seat on CHADEMA ticket says he has plans to get the district more teachers if he wins the October 31, 2010 general elections.
Rombo remains one of the districts in the country whose people are development-conscious with plans to improve people's socio-economic conditions.
Daily News | Rombo District: Shining example in ward secondary schools

MY TAKE:
Hiyo article hapo juu inamzuzua na tujiulize hayo mafanikio anayojitamba nayo ni kazi ya mikono yake au ameyakuta kuna mafumbo mengi sana huko! For me huyu jamaa hakushinda for merits ila ni circumstances zilizomuwezesha kulinyakua hilo jimbo!

Shule za kata alianzisha Mkapa au JK na Lowasa wake? Hii mada si sahihi kama shule hizi zilianzishwa na utawala wa Kikwete
 
Shule za kata alianzisha Mkapa au JK na Lowasa wake? Hii mada si sahihi kama shule hizi zilianzishwa na utawala wa Kikwete
in short hizo shule wanazojitamba nazo si za ward bali ni za Wazazi/wanavijiji/ushirika ila kama tunavyojua wanasiasa hawaachi kujitapa nazo!
 
nilisikitishwa sana na mchago wa SELASINI, nilikuwa na shauku ya kumsikia huyu bwana...maana amefanya kazi nzuri sana kumg`oa MRAMBA.......DAH sina hamu na huyu bwana......................
 
wananchi wa rombo wamekua kama wana bahati mbaya coz nakumbuka mwaka 1995 walimpiga chini Mramba na kumchagua Bogus mwingine aliyekua CHADEMA kipindi hicho bw. Salakana (Aliyegombea ubunge moshi mjini 2010 kupitia ccm) .kwa hili naomba nivishauri vyama vya upizani kujitahidi kupata watu smart ili kutowakatisha tamaa wananchi wanaokubali waliokubali mapinduzi na wanaowaunga mkono
 
wananchi wa rombo wamekua kama wana bahati mbaya coz nakumbuka mwaka 1995 walimpiga chini Mramba na kumchagua Bogus mwingine aliyekua CHADEMA kipindi hicho bw. Salakana (Aliyegombea ubunge moshi mjini 2010 kupitia ccm) .kwa hili naomba nivishauri vyama vya upizani kujitahidi kupata watu smart ili kutowakatisha tamaa wananchi wanaokubali waliokubali mapinduzi na wanaowaunga mkono
mkuu ile si bahati mbaya maana kama ni kupima walichopata kutokana na uamuzi wao nathani kila kitu kiko wazi maana wamepata barabara na shule ndo hizo zinatambiwa na Wabunge ambao hata hawakushiriki kuweka mikakati
 
Kuna mahali sikukubaliana na Chadema katika uteuzi wa wagombea wa ubunge waliohama vyama gafula. waliwanyima haki wale waliokuwa wamejenga chama kutoka moyoni wakawaweka wapita njia ambao hata falsafa ya chama hawaijui. Mtu Kama Shibuda, kwa mfano, hataweza kusahau itikadi na tamaduni za ccm.
 
Heshima kwako LAT,

Mkuu kinachonifurahisha sana ni mtindo uliozuka na kuanza kuota mizizi ya kuwatetea viongozi wa CHADEMA hata inapodhihirika dhahiri wamekosea wanzuka maafisa habari from no where kupinga, kukanusha na kupotosha ili kumlinda na kumjenga kisiasa mkosaji ilimradi awe ni ..........


Inawezekana unapenda kusikia habari unazopenda kuzisikia huu ni ugonjwa wa watawala wengi hasa Afrika ni ajabu kidogo ugonjwa huu umeanza kuwaingia taratibu wananchi wa kawaida sijui wewe upo katika kundi hilo ??????.Kuna utaratibu unaoaanza kuzoeleka na kuonekana kama jambo la kawaida hapa JF kusiafia jambo la hovyo mradi tu liwelinafungamana na chama fulani.....

Mkuu LAT utanisamehe sana siwezi kusifia jambo ambalo naamini haliko sawa sawa.
hii ni kweli na kwa ujumla wake inaangusha sana JF... hata vijiwe vyetu vya kashata huwa tunakubaliana kutokukubaliana, lakini hapa naona emotions are very high

I hope this will change very soon
 
Back
Top Bottom