only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Niko na wazee na vijana kijiweni dar, kuna wa2 wa ROMBO wanalalamika wa2 wa kwao kumchagua Selasini.wanasema hajafanya chochote n anataka posho iongezwe.yeyote anaejua mazuri ya mh huyu anipe niwaelimishe coz wanasema bora mramba
Wampe muda kidogo afanye kazi jamani....