Bado Waziri wa zamani wa Elimu katika awamu ya tatu Joseph Mungai (MB) anakumbukwa kwa jitihada zake na mafanikio yake katika kuvuruga mitaala ya elimu Tanzania!
Lakini nyuma ya pazia ni kwamba huyu ni mzaliwa na raia wa KENYA.....! ambaye alikuwa na mission moja tuu..kuikadamiza elimu ya watz ili Kenya iendelee kupaa... na alifanikiwa hasa..wapo watakao kuja hapa kuandika tofauti na miye lakini wakifanya utafiti watajua yasemwayo yalivyonakshiwa na ushahidi mnene tuu.
Angalizo: YATUBIDI TUWE MAKINI NA UTENDAJI WA VIONGOZI WETU, baadhi sio RAIA na wana MIPANGO TOAFAUTI na Watanzania wadhaniavyo!
Lakini nyuma ya pazia ni kwamba huyu ni mzaliwa na raia wa KENYA.....! ambaye alikuwa na mission moja tuu..kuikadamiza elimu ya watz ili Kenya iendelee kupaa... na alifanikiwa hasa..wapo watakao kuja hapa kuandika tofauti na miye lakini wakifanya utafiti watajua yasemwayo yalivyonakshiwa na ushahidi mnene tuu.
Angalizo: YATUBIDI TUWE MAKINI NA UTENDAJI WA VIONGOZI WETU, baadhi sio RAIA na wana MIPANGO TOAFAUTI na Watanzania wadhaniavyo!
Last edited by a moderator: