Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Dont worry, It will not happen in your lifetime.
Hiyo Imani ya kweli ni ipi unayoizungumzia? na Imani ya uongo ni ipi?
" Hakuna mola apaswae kuabudiwa kwa haki, ila (Mwenyezi MUNGU)mmoja tu, yeye pekee ndie anae kusudiwa (yeye hakusudii/kuomba popote), hakuzaa wala hakuzaliwa na hafanani na cho chote !" chukua imani nyingine yeyote uijuayo na kama mungu wao ana kosa hizo sifa hizi, basi ni IMANI YA UONGO!