Jordan is Palestine

Dont worry, It will not happen in your lifetime.
Hiyo Imani ya kweli ni ipi unayoizungumzia? na Imani ya uongo ni ipi?

" Hakuna mola apaswae kuabudiwa kwa haki, ila (Mwenyezi MUNGU)mmoja tu, yeye pekee ndie anae kusudiwa (yeye hakusudii/kuomba popote), hakuzaa wala hakuzaliwa na hafanani na cho chote !" chukua imani nyingine yeyote uijuayo na kama mungu wao ana kosa hizo sifa hizi, basi ni IMANI YA UONGO!
 
[/U][/B]
" Hakuna mola apaswae kuabudiwa kwa haki, ila (Mwenyezi MUNGU)mmoja tu, yeye pekee ndie anae kusudiwa (yeye hakusudii/kuomba popote), hakuzaa wala hakuzaliwa na hafanani na cho chote !" chukua imani nyingine yeyote uijuayo na kama mungu wao ana kosa hizo sifa hizi, basi ni IMANI YA UONGO!

Pole sana kama unaabudu mungu asiefanana na chochote, Nilidhani mungu wako amekuumbeni kwa mfano wake kumbe sivyo!!!!, Hii ndio imani ya waarabu unaowatetea inavyosema?
Sasa wewe umeumbwa kwa mfano wa nani?

Vipi Bwana Mbona huna comments kuhusu maangamizi ya Jews yanayofanywa na Waarabu? Bado unawatetea?
 
Pole sana kama unaabudu mungu asiefanana na chochote, Nilidhani mungu wako amekuumbeni kwa mfano wake kumbe sivyo!!!!, Hii ndio imani ya waarabu unaowatetea inavyosema?
Sasa wewe umeumbwa kwa mfano wa nani?

Vipi Bwana Mbona huna comments kuhusu maangamizi ya Jews yanayofanywa na Waarabu? Bado unawatetea?
1. Mbona umeng'ang'ana na Waarabu hivyo? whats your point ? tupe kisa cha Muarabu kumuangamiza Myahudi kama walivyofanya watu wa Magharibi!
2. Nimeumbwa kwa mfano wa mtu, asilan Mwenyezi Mungu wangu hafanani na chochote! Mungu wangu mie husema " kuwa na kitu kikawa hapo hapo, yeye pekee hapatwi na mauti (Timotheo 6:16) wako ana fanana na wewe na akili zake kama zako na anaenda choo kama wewe na iko siku atakufa kama wewe! sijui Dunia itabaki na nani?
 
Kwani kifo ni mpaka uwekwe kwenye tanuru? Au kifo ni mpaka uuliwe kwa gesi? Mbona Waaarabu wamekua wakiwaua Jews kwa muda mrefu sana? Hitler just copied whet aArabs were doing, He only perfected the methodology used.

Violence Against Jews

At various times, Jews in Muslim lands were able to live in relative peace and thrive culturally and economically. The position of the Jews was never secure, however, and changes in the political or social climate would often lead to persecution, violence and death. Jews were generally viewed with contempt by their Muslim neighbors; peaceful coexistence between the two groups involved the subordination and degradation of the Jews.

When Jews were perceived as having achieved too comfortable a position in Islamic society, anti-Semitism would surface, often with devastating results: On December 30, 1066, Joseph HaNagid, the Jewish vizier of Granada, Spain, was crucified by an Arab mob that proceeded to raze the Jewish quarter of the city and slaughter its 5,000 inhabitants. The riot was incited by Muslim preachers who had angrily objected to what they saw as inordinate Jewish political power.

Similarly, in 1465, Arab mobs in Fez slaughtered thousands of Jews, leaving only 11 alive, after a Jewish deputy vizier treated a Muslim woman in "an offensive manner." The killings touched off a wave of similar massacres throughout Morocco.(6)

Other mass murders of Jews in Arab lands occurred in Morocco in the 8th century, where whole communities were wiped out by Muslim ruler Idris I; North Africa in the 12th century, where the Almohads either forcibly converted or decimated several communities; Libya in 1785, where Ali Burzi Pasha murdered hundreds of Jews; Algiers, where Jews were massacred in 1805, 1815 and 1830 and Marrakesh, Morocco, where more than 300 hundred Jews were murdered between 1864 and 1880.(7)

Decrees ordering the destruction of synagogues were enacted in Egypt and Syria (1014, 1293-4, 1301-2), Iraq (854-859, 1344) and Yemen (1676). Despite the Koran's prohibition, Jews were forced to convert to Islam or face death in Yemen (1165 and 1678), Morocco (1275, 1465 and 1790-92) and Baghdad (1333 and 1344).(8)

As distinguished Orientalist G.E. von Grunebaum has written:
It would not be difficult to put together the names of a very sizeable number of Jewish subjects or citizens of the Islamic area who have attained to high rank, to power, to great financial influence, to significant and recognized intellectual attainment; and the same could be done for Christians. But it would again not be difficult to compile a lengthy list of persecutions, arbitrary confiscations, attempted forced conversions, or pogroms.(9)

The situation of Jews in Arab lands reached a low point in the 19th century. Jews in most of North Africa (including Algeria, Tunisia, Egypt, Libya and Morocco) were forced to live in ghettos. In Morocco, which contained the largest Jewish community in the Islamic Diaspora, Jews were made to walk barefoot or wear shoes of straw when outside the ghetto. Even Muslim children participated in the degradation of Jews, by throwing stones at them or harassing them in other ways. The frequency of anti-Jewish violence increased, and many Jews were executed on charges of apostasy. Ritual murder accusations against the Jews became commonplace in the Ottoman Empire.(10)

By the twentieth century, the status of the dhimmi in Muslim lands had not significantly improved. H.E.W. Young, British Vice Consul in Mosul, wrote in 1909:
The attitude of the Muslims toward the Christians and the Jews is that of a master towards slaves, whom he treats with a certain lordly tolerance so long as they keep their place. Any sign of pretension to equality is promptly repressed.(11)

The danger for Jews became even greater as a showdown approached in the UN over partition in 1947. The Syrian delegate, Faris el-Khouri, warned: "Unless the Palestine problem is settled, we shall have difficulty in protecting and safeguarding the Jews in the Arab world."(12)

More than a thousand Jews were killed in anti-Jewish rioting during the 1940's in Iraq, Libya, Egypt, Syria and Yemen.(13) This helped trigger the mass exodus of Jews from Arab countries.


Also Read Here

Pole sana, Inaelekea hujui kinachotokea au kwa kusudi umeamua kufumbia Macho uovu unaofanywa na Waarabu.
Hitler aliwindwa yeye na Washirika wake Dunia nzima, hebu tupe mfano wa Waarabu walioshitakiwa kwa hiyo Genocide uliyoieleza hapo!
 
1. Mbona umeng'ang'ana na Waarabu hivyo? whats your point ? tupe kisa cha Muarabu kumuangamiza Myahudi kama walivyofanya watu wa Magharibi!
2. Nimeumbwa kwa mfano wa mtu, asilan Mwenyezi Mungu wangu hafanani na chochote! Mungu wangu mie husema " kuwa na kitu kikawa hapo hapo, yeye pekee hapatwi na mauti (Timotheo 6:16) wako ana fanana na wewe na akili zake kama zako na anaenda choo kama wewe na iko siku atakufa kama wewe! sijui Dunia itabaki na nani?
Because they keep propagating their hatred and lies about the so called ''Palestinian Thing'' and you are blindly supporting them
About your so called god, I'd rather keep my comments for now.
 
Because they keep propagating their hatred and lies about the so called ''Palestinian Thing'' and you are blindly supporting them
About your so called god, I'd rather keep my comments for now.
huyu jamaa ni headache. Allah akisema, basi haelewi kitu kingine. Mwalimu wake madrassa hapati shida kum brainwash!
 
huyu jamaa ni headache. Allah akisema, basi haelewi kitu kingine. Mwalimu wake madrassa hapati shida kum brainwash!
Uliokuwa Brainwash ni wewe unaeambiwa na Wazungu "MTU ni MUNGU" Allah anajua yaliofichika na yaliyo dhahiri, yeye tu ndie anakusudiwa, yeye haombi msaada kwa yeyote (Eloi Eloi mbona unaniacha!)!
 
October Hao waarabu wanaojiita wapalestina kutoka Jordan said:
Kinachonishangaza ni kuwa waarabu ndio wavamizi wakubwa wa ardhi za watu wengine lakini cha ajabu hawaoni hili kwa mfano.

Waarabu walivamia Misri, North Afrika nzima,- Algeria, Libya, Tunisia, Je kwa mfano hao Berber (ambao ni waafrika asilia wa Algeria wakiamua kuwafukuza waarabu?

Israel ni ilikuwa ni nchi ya wayahudi mpaka walipovamiwa na waarabu, so the Jews are there to stay!!!
 
Kinachonishangaza ni kuwa waarabu ndio wavamizi wakubwa wa ardhi za watu wengine lakini cha ajabu hawaoni hili kwa mfano.
Waarabu walivamia Misri, North Afrika nzima,- Algeria, Libya, Tunisia, Je kwa mfano hao Berber (ambao ni waafrika asilia wa Algeria wakiamua kuwafukuza waarabu?
Israel ni ilikuwa ni nchi ya wayahudi mpaka walipovamiwa na waarabu, so the Jews are there to stay!!!
Mkuu asante kwa kuonyesha ufahamu wa Historia. Asante kwa kueleza jinsi waarabu walivyovamia North Afrika na kuteketeza wenyeji wote wa nchi hizo. Hata sasa tunaona kinachofanyika Sudan, Bado wanaendeleza uharamia wao waliouzoea. Ila Kwa wayahudi wamekutana na kisiki cha mpingo ndio maana wanabaki kulialia tu na kutaka waonewe huruma.
 
Back
Top Bottom