Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
hapo kwenye red nadhani pitia kamusi utapata tafsiri sahihi ya hilo neno, hiyo lugha ina wenyewe, sio ile ya maandishi ya kutoka kulia kwenda kushoto.
Kuandika kutoka kulia kwenda kushoto ni kumkubali mwenyezi mungu,hakika yeye ndie muumba mbingu na nchi, husema kuwa na ikawa!( kuna hekma kubwa na ishara kwa tendo hilo)
kuna viswali vidogo hapa halafu nakuachia home work!
1. Dunia inazunguka kutoka upande gani kwenda upande gani?
2. Machine zozote unazozijua wewe, haswa zenye motor, mzunguko wake huanzia upande gani kwenda upande gani?
3. ukianza kutembea, unaanza mguu gani unafuata upi?
4.Jua linachomoza Mashariki linazama Magharibi, ukiangali mashariki iko upande gani na magharibi iko upande gani?
5. Unajua moyo wako unavyofanya kazi ? uko upande gani? una pump damu kutoka upande upi kwenda upi?
6. Nani hapa elimu yake ndogo? (baada ya kujibu hayo maswali)