STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Mbunge wa maswa mashariki (Chadema) Mh. Magale Shibuda amewapa siku 3 bavicha wamtake radhi yeye na wapiga kura wake kuhusu kutoa kauli kwenye NEC ya ccm kugombea urais anasema wana fikra hasi na kusahau kuwa yeye ni mjumbe wa APRM mpango wa kujitathimini africa kwa hiyo alikuwa anatoa mada kwenye NEC.
Mada yenyewe ni Kugombea urais siyo!!!!!!!!!!!! Huyu ndiyo anaelekea mwisho..