John Mnyika awe mwenyekiti CHADEMA...

Zitto mwanachadema damu.mnao msumbua mnalenu jambo.
Kafanya baya gani ndani ya chadema?

1Zitto na kamati yake wote walikula posho mbili iliyofanya Bunge lishindwe kumwondoa Hosea wa TAKUKURU. Kwa hiyo, TAKUKURU saa yoyote inaweza kumkamata zitto ikitaka. For the time being ccm anafanya vile vitu serikali imekubali afanye. Akitoka anakamatwa zitto kama anabisha akanushe hili hapa. Hafai kuwa mkiti wa chadema na hatakuwa.
2 Zitto alikuwa na mawasiliano ya kila na jack Zoka n
Naiku mkurugenzi wa usalama wa Taifa, WATU walituhumiwa kuiba kura za Dr Slaa . mawasiliano yao yalikuwa ktk kipindi chote cha uchaguzi. Hakuhuhudhruria hata uzinduzi wa kampeni za CHADEMA. Aje kuwa MKITI WA CHADEMA? nO WAY. Akiwa mkiti narudisha kadi ya chadema maana na yenyewe itakuwa ccm b.
3 Mwana halisi lili ripoti mawasiliano ya simu kati yake Rostam, hakubisha. Alinunuliwa gari na Rostam. analo hadi sasa.
4 Zitto anajiandaa kuibomoa nccr wakati wo wote ili aende nccr. Hawezi kuwa mkiti wa chadema.
5 Amehongwa nyumba na Shirika la NSSF maeneo ya tabata ndo maana aliwapigia debe ktk kamati yake ili wapewe mgodi wa kiwira nani asiyejua? Tuulilze sisi tunaofanya kazi NSSF.
Muda wangu umeisha ukitaka nitarudi siku nyingine.
 
Naomba muelewe maandamano ni Silaha bora zaidi ya kupigania HAKI na yanatoa matokeo + kwa wakati kuliko dialogue unayoisema. Kuna mabo ya kufayia dialogue sio dhuluma/ ufisadi/unyang''anyi unyang'anyU
 
Zitto yuko katika faili ya hosea wa takukuru kuna ushahidi wa uhakika kuwa yeye na kamati yake walikula posho mbili kwa siku moja. Anaweza kamatwa siku yo yote hosea akiamua. Zitto anajua hilo.
 
NSSF walimhonga nyumba maeneo ya tabata ili yeye awapigie debe wapewe mgodi wa Kiwira. Ushahidi upo. Hawezi kuwa mkiti.
Vipi uswahiba wake na Jack Zoka, NAIBU MKURUGENZI WA USALALA WA TAIFA AMBAYE TULIJUZWA NA MWANAHALISI KUWA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU WALIKUWA WANAPIGIANA SIMU ZAIDI YA MARA MBILI KARIBU KILA SIKU? ZOKA NDO ALIYE CHAKACHUA KURA ZA CHADEMA. WALIJUA HILO?
 
Ukilinganisha chadema ilikotoka wakati mbowe anakabidhiwa na iliko sasa utajuwa mbowe ni kiongozi mzuri wa chadema au la.
Mnyika ni kiongozi anayechipukia. Kama hana haraka na maisha bora aendelee kujenga jina na imani na ujuzi pamoja na mbinu. Nafurahia sana kura yangu niliompa.
Uzuri wa chadema ni kuwa wan viongozi wengi sana wazuri na mashujaa na bado vijana na wamejitoa hakuna uhaba useme inabidi kumgroom mtu mmoja. Humo wote wanakuwa groomed
 
Ukifuatilia matatizo meengi ya nchi hii
utakuta tatizo la 'age gap' kati ya viongozi wanaotawala na wananchi..

zaidi ya nusu ya watanzania ni 'below 30 years old...inasemekana almost 60
au 75 percent ya watanzania umri ni below 35
na ukichukua below 40 unaweza kukuta ni almost 65-80 percent....
mwenye accurate data
tafadhali aweke hapa.......

sasa basi mimi kwa maoni yangu naona viongozi kama Zitto,Mnyika,January,Kafulila na wengineo vijana
angalau wana 'advantage' ya kuwa connected na masula hasa ambayo viongozi
kama Kikwete na wazee wenzake wengi hawaelewi kabisa...
kuna a 'A BIG DISCONNECTION' kati ya wananchi na wazee kwa hakika...

Mimi ningependa Zitto awe mwenyekiti CHADEMA....lakini
ameshaanza kuwa 'na wapinzani wengi' ndani ya CHADEMA itakuwa ngumu kwake kupata
Uenyekiti au 'legitimacy' inayohitajika pengine kwa sasa....

sasa nilipomuangalia John Mnyika jinsi alivyoendesha kampeni ya ubungo
bila 'kumjeruhi' Julius Mtatiro na jinsi 'anavyo perfom bungeni now'
pamoja na kutomkubali huko nyuma,ameni convince now kuwa 'he is a better leader'
kulinganisha na wengine ndani ya CHADEMA....

1.Sifa ya kwanza ni 'uniter'..ataweza kuunganisha CHADEMA na vyama vingine.


2.Sifa ya pili anapenda 'dialogue' kuliko 'maandamo'....


3.Sifa ya tatu ambayo mimi naona ni muhimu mno now ni age...
ata 'connect' na wananchi ambao wengi ni vijana
yuko engaging na watu....

4.hana 'political garbage' ya aina yeyote for now...haitaji kulipa fadhila kwa yeyote
yuko free kufanya maamuzi kwa jinsi anavyoona,ana uwezo wa kuwa 'ndependent'
kimawazo...

na sifa zingine nyingi kumlinganisha na wengine......

now its time,tukisubiri 'azeeke' atakuwa 'corrupt' na mazoea na culture za siasa za makundi

Chadema wafanye kama DEMOCRATS walivyofanya kwa OBAMA....

mimi nafikiri its time Mnyika awe Mwenyekiti,CHADEMA itawasaidia
1.hoja ya uchagga na ukaskazini
2.hoja ya chama cha familia...

na hoja zingine...nyiingi....Urais anaweza kugombea SLAA au yeyote but Mnyika awe Mwenyekiti....

I fully agree with you! JJM is a graet leader!!! May God Bless him.
 
Sawa ni wazo zuri sasa vijana wenye age ya 30's kuwa viongozi wa juu yaani umwenyekiti,but kwa chama cha CHADEMA kilichopo chini ya serikali kandamizi ya CCM maandamano huru yasiyo na vurugu yanaitajika.Serikali yetu haisikii until effects seen.Mh.Mnyika kuwa mwenyekiti atapata kibarua kigumu sana kwa kuing'arisha CHADEMA na kushika nchi kwa nguvu ya hoja na mazingira.
 
...mimi nafikiri its time Mnyika awe Mwenyekiti,CHADEMA itawasaidia
1.hoja ya uchagga na ukaskazini
..
Mimi nilimpigia kura pale Ubungo bila hata ya kutaka kujua kabila lake, ila point yako hiyo inanifanya niulize, hivi Mnyika ni kabila gani?
 
Katika mazingira na historia ya kisiasa kwa hawa vijana wawili yani zitto na mnyika sio rahisi mmnyika awe mwenyekiti afu zitto apewe nafasi ya uongozi chini yake. Labda abaki mjumbe wa vikao tu vya cc na nec. Mana kwa vigezo vyote mnyika bado ni junior kwa zitto. Sijui ndani ya chama hali ikoje. Ingawa wakikubaliana wanaweza kuwa hivyo. Mnyika awe mwenyekiti na pengine zitto awe makamu.

ninaposema awe mwenyekiti,sisemi 'apewe' kama zawadi
ninachofanya hapa,ni kuwashawishi Chadema 'WAMTAZAME'
kama myu anaefaa kwa UENYEKITI....lakini
agombee na wengine pia wagombee,awe Zitto,Mbowe,Slaa na yeyote atakae taka
but mimi naona Mnyika ndio better....
Kuhusu Zitto ,'haihitaki' kupewa chochote,
Demokrasia ndio itawale,Zitto awe huru kugombea nafasi yeyote ile atakayopenda
wanachama ndio waamue...
 
Ukifuatilia matatizo meengi ya nchi hii
utakuta tatizo la 'age gap' kati ya viongozi wanaotawala na wananchi..

zaidi ya nusu ya watanzania ni 'below 30 years old...inasemekana almost 60
au 75 percent ya watanzania umri ni below 35
na ukichukua below 40 unaweza kukuta ni almost 65-80 percent....
mwenye accurate data
tafadhali aweke hapa.......

sasa basi mimi kwa maoni yangu naona viongozi kama Zitto,Mnyika,January,Kafulila na wengineo vijana
angalau wana 'advantage' ya kuwa connected na masula hasa ambayo viongozi
kama Kikwete na wazee wenzake wengi hawaelewi kabisa...
kuna a 'A BIG DISCONNECTION' kati ya wananchi na wazee kwa hakika...

Mimi ningependa Zitto awe mwenyekiti CHADEMA....lakini
ameshaanza kuwa 'na wapinzani wengi' ndani ya CHADEMA itakuwa ngumu kwake kupata
Uenyekiti au 'legitimacy' inayohitajika pengine kwa sasa....


sasa nilipomuangalia John Mnyika jinsi alivyoendesha kampeni ya ubungo
bila 'kumjeruhi' Julius Mtatiro na jinsi 'anavyo perfom bungeni now'
pamoja na kutomkubali huko nyuma,ameni convince now kuwa 'he is a better leader'
kulinganisha na wengine ndani ya CHADEMA....

1.Sifa ya kwanza ni 'uniter'..ataweza kuunganisha CHADEMA na vyama vingine.


2.Sifa ya pili anapenda 'dialogue' kuliko 'maandamo'....


3.Sifa ya tatu ambayo mimi naona ni muhimu mno now ni age...
ata 'connect' na wananchi ambao wengi ni vijana
yuko engaging na watu....

4.hana 'political garbage' ya aina yeyote for now...haitaji kulipa fadhila kwa yeyote
yuko free kufanya maamuzi kwa jinsi anavyoona,ana uwezo wa kuwa 'ndependent'
kimawazo...

na sifa zingine nyingi kumlinganisha na wengine......

now its time,tukisubiri 'azeeke' atakuwa 'corrupt' na mazoea na culture za siasa za makundi

Chadema wafanye kama DEMOCRATS walivyofanya kwa OBAMA....

mimi nafikiri its time Mnyika awe Mwenyekiti,CHADEMA itawasaidia
1.hoja ya uchagga na ukaskazini
2.hoja ya chama cha familia...

na hoja zingine...nyiingi....Urais anaweza kugombea SLAA au yeyote but Mnyika awe Mwenyekiti....

Naungana na wewe kuhusu mnyika.Kwanza sio mtu wa kukata tamaa na hapendi makuu.
Ndugu yako Zitto anamatatizo mengi sana yalijificha/aaliyaficha ila sasa yameanza kuonekana wazi,sio kwamba anamaadui ndani ya Chadema ,huyu bwana alisahau kuwa umaarufu wake ulitokana na yeye kufukuzwa Bungeni halafu wananchi wakaja juu kwa kitendo kile .Yeye alijidanganya kuwa uwezo wake wa kujenga hoja ndio ulimpatia umaarufu mkubwa wa ghafla.Nguvu ya umma ndio ilimbeba.
Siku zinavyozidi kwenda anaweka hadharani uzaifu wake .Hakuna kitu kibaya kama kutokuheshimu maamuzi ya chama/kambi uliyopo kisa ukiongea tofauti kupingana nao nje ya kikao utajiongezea umaarufu.
Asilimia zaidi ya 95 ya wabunge wa Chadema ni mahiri na wanauwezo mkubwa sana wa kujenga hoja zenye mashiko,na wanasaidiana kutokana na kwamba wanawakilisha majimbo yao na majimbo mengine Tz nzima.
 
ninaposema awe mwenyekiti,sisemi 'apewe' kama zawadi
ninachofanya hapa,ni kuwashawishi Chadema 'WAMTAZAME'
kama myu anaefaa kwa UENYEKITI....lakini
agombee na wengine pia wagombee,awe Zitto,Mbowe,Slaa na yeyote atakae taka
but mimi naona Mnyika ndio better....
Kuhusu Zitto ,'haihitaki' kupewa chochote,
Demokrasia ndio itawale,Zitto awe huru kugombea nafasi yeyote ile atakayopenda
wanachama ndio waamue...

Mnyika ana sifa za uongozi wa kuaminika lakini anahitaji kuwa groomed. Kwa siasa za sasa zinazoendeshwa chini ya utawala wa serikali ya CCM, Mbowe bado ni kiongozi sahihi kabisa. Inahitajika kiongozi shupavu kweli wa upinzani kuweza kuhimili mabavu ya CCM. Ni bahati mbaya, watu wanaweza kusema mengi dhidi ya Mbowe, lakini kwa fikra zangu, huyu ni kiongozi anayehitaji kuenziwa sana kwa maendeleo ya CHADEMA. Ameiongoza CHADEMA katika kipindi kigumu kabisa, kutoka kwenye hatua ya kuwa unpopular political party mpaka kufika hatua ambayo hakuna mtanzania asiyeijua CHADEMA.

Wapenda maendeleo ya demokrasia na wapenzi wa CHADEMA, itazameni CHADEMA ya leo, mlinganishe na miaka karibu kumi Mbowe alipoichukua kutoka kwa Bob Makani. Kila kiongozi wa CHADEMA, tangu wa mwanzo mpaka sasa, ana nafasi yake LAKINI MH. Mbowe amefanya kazi ya pekee kuijenga CHADEMA. Siyo kiongozi wa kuyumbayumba, waangalieni viongozi wengine wa upinzani, baada ya kutikiswa na siasa za kibabe za CCM, leo wako wapi? Akina Lamwai, Lyatonga, Makongoro Nyerere, Kabourou, Tambwe Hiza, Wasira, n.k. Mbowe ana nafasi ya pekee katika ujenzi wa demokrasia ya Tanzania, na ujenzi wa CHADEMA.

Zito ana uwezo wa kiakili lakini anakosa busara ya matumizi sahihi ya uwezo wake. Huenda ni mtu anayetaka lazima apate uongozi mkubwa, na ndiyo maana yupo tayari kufanya lolote, au kushirikiana na yeyote ili kufika huko. Uhusiano wake wa karibu na uongozi wa juu wa idara ya usalama wa Taifa na RA - hivi vyote vinatia shaka juu ya dhamira yake. Na ukweli ni kuwa kuwa na uwezo wa kiakili siyo kigezo cha kuwa kiongozi mzuri - tunataka mtu ambaye anaweza kutumia uwezo wake wa akili kwa faida ya wengine. Wapo matapeli na majambazi wenye akili sana lakini wameamua kutumia akili zao katika uhalifu.
 
Naskitika kuona watu wanashindwa kuchambua mmambo kwa undani wake,tukiludisha miaka kumi na tano nyuma tukafatilia hali ya uimala wa chadema na ilivosasa unaweza kujua huyu mwenyekiti aliekuepo sasa ni imala kiasi gani.namkumbuka mbowe nauimala wake alipo chukua jimbo la hai kipindi ambacho mbunge wa upinzani kujenga hoja nakupata kula ilikua ni hadithi,lkn mbowe aliweza.hacha watu waliopata ubunge kupitia chadema msimu ambao hata mtto mdogo akisikia chadema anajua ni nn.lkn pia ukumbuke kwamba huo nimkakati wa chadema kuakikisha vijana wao wananawili kisiasa nakujenga imani kwa wananchi iliwatakapo achiwa madaraka miaka ijayo chama kisiyumbe!kuimalisha chama kunaitaji mtu imala ambaye pekeyake kabla ya chama ameimarika hii inasaidia sana kupata inside information za system na mipango yao ya kukizuru chama chako.My TAKE:mnyika ni mzuri kwa hoja zake(kupambanua mambo)lkn anaitaji muda ili aive kisiasa.
 
Boss

Hebu tusaidie mpaka sasa amefanya kitu gani outstanding bungeni?

Jimboni kwake jee, kuna mambo gani ya msingi ametekeleza?
akishayajibu hayo, atuambie Mnyika amepita kwenye mikiki ipi ya kisiasa ambayo inamuonyesha kuwa ni politically strong kusimama, na kuendeleza chama katika mazingira yaliopo kwa sasa.

Swala la uenyekiti wa chama lina taratibu zake, na sio kila kijana anaweza kuongoza chama kwasababu ni machachari. Political party sio sawa na DARUSO au the like.

Mfano wa mtatizro, pamoja na u-kijana wake na umachachari wake, amefanya nini baada ya kupewa unaibu katibu mkuu bara??
 
Naona kwenye suala hili watu wanaendeshwa na hisia zaidi kuliko kutazama hali halisi, suala la Mnyika kuwa mwenyekiti bado sana na sidhani kama Mnyika ameishapitia mikikimikiki ambayo inamfanya tumuone politically strong kusimama na kuendeleza chama kwa hali ya kisiasa iliyopo nchini sasa hivi
 
Boss

Hebu tusaidie mpaka sasa amefanya kitu gani outstanding bungeni?

Jimboni kwake jee, kuna mambo gani ya msingi ametekeleza?

Dogo anaweza kujenga hoja na ni jana nimeshuhudia bunge zima likikubaliana na hoja yake ya kubadilisha kipengele fulani, katika kamati teule ya iliyoundwa kumchungaza bwana jairo na si hapo kuna siku aliwashawishi baadhi ya bunge wa ccm akiwemo mhe. simbachawene na mhe zambi walikubaliana na hoja yake kuhusu wawekezaji ktk ngazi ya wilaya wasipewa(kodi ya ardhi) tax holiday ya miaka 10 na badala yake wapewe miaka 5. sema bi. kiroboto aliitolea nje.
 
Boss

Hebu tusaidie mpaka sasa amefanya kitu gani outstanding bungeni?

Jimboni kwake jee, kuna mambo gani ya msingi ametekeleza?
Hapa juzi tuliambiwa bungeni kuwa 98% ya mabadiliko ya vipengele vya sheria ya manunuzi ya umma yalitolewa na Mnyika peke yake. Kuhusu jimboni kwake, ni bahati mbaya umekikosa kipindi cha 'Jimboni kwetu' cha Star TV, juzi kilikuwa jimboni Ubungo; ungeona na kusikia directly kutoka kwa wakazi wa jimbo hilo jinsi wanavyoappreciate pressure iliyotolewa na mbunge huyo hadi Tanroads na Dawasco wakatimiza wajibu wao
 
Naona kwenye suala hili watu wanaendeshwa na hisia zaidi kuliko kutazama hali halisi, suala la Mnyika kuwa mwenyekiti bado sana na sidhani kama Mnyika ameishapitia mikikimikiki ambayo inamfanya tumuone politically strong kusimama na kuendeleza chama kwa hali ya kisiasa iliyopo nchini sasa hivi

hivi mikikimikiki ni kitu gani hasa....??????
ni lazima iwepo kwenye siasa zetu?

tunaelekea kwenye wakati mpya
a new generation is taking over....
tazama the future.....hiyo mikiki mikiki ni 'temporary politics'

siasa za kistaarabu ndio future....na MNYIKA NDO BEST GUY FROM CHADEMA...
 
Akishapata mafanikio 10 au zaidi ndani ya CDM ambayo anaweza kusimama popote pale na kuyapigia debe mafanikio hayo na Wanachadema wakakubaliana naye kwamba kweli amepata mafanikio makubwa na pia kukiinua chama katika kona mbali mbali za Tanzania na hivyo kustahili kukabidhiwa mikoba ya uenyekiti.

Hawezi kutimiza mafanikio 10 kama atashindwa kuwa mchagga.
Acha ubishi chaubishi, umewahi kuhesabu mafanikio 10 ya Mbowe? Kama ndiyo basi tuwekee hapa kama kigezo na kama hujawahi jiulize ni kwa nini? Uchagga ni "mafanikio 10 kuwa mwenyekiti Chadema" siyo?!
 
Back
Top Bottom