jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Kazi kweli kweli.Chama chochote kikiita wazee wa Dar es Salaam atakutana na wazee wetu wenye kuvaa nguo za paradise..lol
Dar is for Islam, wakristo ni wakuja
Kazi kweli kweli.Chama chochote kikiita wazee wa Dar es Salaam atakutana na wazee wetu wenye kuvaa nguo za paradise..lol
Dar is for Islam, wakristo ni wakuja
Kazi kweli kweli.
Kama wanavyofanya akina mbowe wanaongoza na kufanya maandamano inapotakiwa. kama mbowe angekuwa anahamasisha maandamano muda wote rais wenu asingekuwapo madarakani sasa.maandamano sio kila kitu
unahitaji a 'leader'
kuongoza watu na sio wahamasishaji wa maandamano...
Na hapa ni Bagamoyo kwa wakwerre, ushaidi mzuri angalia huo mbuyu, hizi ndio faida za kupewa ubwabwa halafu watoto wenu wanasoma kwenye mazingira haya, hapa tunazalisha kundi la wajinga kama baba zao, kazi kucheza bao na kunywa kahawa.Indeed, wazee wa Dar wanajulikana mkuu
Labda kama utaita wazee wa moshi ndio utaona makoti na zile vipande vya nguo kulalia kama anayovaa Slaa
Kwa mtazamo huo siasa zetu hazitakuja kutuletea positive expections hata siku moja, tutawalazimisha the opportunist politicians waendeleze tabia ya kuibua migogoro isiyo na ulazima ili kutengeneza mazingira ya kuishiriki na kuipitia hiyo mikiki mikiki.Naona kwenye suala hili watu wanaendeshwa na hisia zaidi kuliko kutazama hali halisi, suala la Mnyika kuwa mwenyekiti bado sana na sidhani kama Mnyika ameishapitia mikikimikiki ambayo inamfanya tumuone politically strong kusimama na kuendeleza chama kwa hali ya kisiasa iliyopo nchini sasa hivi