Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,995
- 6,293
Acha kutufanya wapumbavu. J.J Mnyika aliwezaje aliwezaje kupeleka list ya majina ikiwa na jina moja la Mwanachama aliyekuwa Gerezani?? Na je ni nani aliyetoa kibali cha kumuondoa usiku Mwanachama yule Gerezani kisha kumuwahisha Dom kwenda kuapishwa??Kosa lake kuu ni kusaini barua ya kina Mdee na baadae kukana kuwa sio yeye