mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
napiga picha raisi wetu wa jamhuri ya tanzania, je atakaa chini na kutafakari na kuona huo udhaifu ni wa wapi?, au ataamua kurekekebisha huo udhaifu?, au ataapuzia maana labda anajua yeye si dhaifu?, au ataapuzia maana mh. Mnyika ni wa upinzani?
Sipati picha kamili.
View attachment 56847
View attachment 56848
mizambwa
nabii mtarajiwa!!!