Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Iiiiih, .....aisee mpewa kazi ngumu sana kuitetea hii kitu!!
Yaani mpaka sasa mna alama chini ya 10% dhidi ya mnaokomoana nao!!
Na kwani, hili limefanyika kumbe kwa ajili ya kuwakomoa CHADEMA siyo?
Na hivi CHADEMA kwani wako wangapi nchi hii eti?
This is a wrong move at a wrong time!!
Barbarosa waambie hawa unaowaunga mkono, hili litawa cost sana muda si mrefu.
Kwa sbb iwe isiwe upepo wa mabadiliko haurudi nyuma bila kujali obtacles zozote zile, utawapitia na kuwasomba tu no matter what obstacles you will put on the way!!
Hakuna kitu kama hicho, WatanZania wengi wala hawana mpango na kuangalia Bunge live sasa hivi wako kwenye shughuli zao za kujipatia kipato na mwisho wa siku wataihukumu Serikali ya V kama itakuwa imetimiza yale iliyoyaahidi au ala na siyo kuangalia Bunge live muda wa kazi!