Analytical
Senior Member
- Mar 7, 2011
- 149
- 73
Mie sina tatizo kabisa na aliyechaguliwa kama taratibu zimefuatwa.
Ni kweli kuwa CDM walienda kuchukua taarifa za mtu kutoka vodacom MPESA? kama ni hivyo, basi huku ni kuingilia privacy ya mtu na sina hakika kama wanaruhusiwa kufanya hivyo. Privacy inakoma kuwa privacy kama kuna public interests na kazi hiyo huhitaji kibali maalum. Wao walipewa kibali hicho na nani?
Aah kwa hiyo hapa issue ni kibali, na sio rushwa sio?