Soma hizi posts
Duh,ameshinda jamaa aisee!
Haya bana,ngoja tu tumpe ushirikiano kwa manufaa ya chama!
Tarime haitaenda chadema tena,kama heche kashinda
He will always bring conflict na ccm wata nufaika na minyukano ya chadema kule
as a Prince and an evangelist nawausia kuwa his time has come. Mkimpa ushirikiano you are humbling yourself into Godly decision. Mkienda against some of you are going to delay your success! This is my wor to you as a preacher and a prince; ukitaka you can take my words ukiona ni upuuzi yenyewe yatabaki yenye nguvu na mwisho wa siku penda usipenda utayakuta yanakusubiri kuku kumbusha that I once adviced you!....Prince Ame in the Kingdom of Heaven!
I told you I never do things kwa hisia I know what am talking for what I say is a command kwani as I say the environment has to obey ninachokiambia hasa kama nimepewa kukisema na baba yangu...!
wazee wa chadema know better.
Ingetosha tu kusema una imani na Heche, haya mengine ya CCM kufanya juu chini ili Heche asisinde as if wagombea wengine wa Uenyekiti walikuwa mamluki wa CCM ni hoja ya hovyo kabisa.
By the way wamuogope kwa nini hasa?binafsi naamini pia kuwa Heche kwa kutojua atainufaisha sana CCM Tarime 2015, wait and see!!
sidhani kama anauwezo kama Benno Malisa wa UvccmHongera sana Heche... tupo nyuma yako...