Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Wakuu,
Habari ndio hiyo Heche amechaguliwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa Bavicha baada ya kupata 53% ya kura zote, akiwaacha kwa mbali wagombea wengine 5,, uchaguzi umeisha alfajiri hii
Dr. Slaa katika mkutano wa uchaguzi
Wajumbe katika mkutano wa uchaguzi
Habari ndio hiyo Heche amechaguliwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa Bavicha baada ya kupata 53% ya kura zote, akiwaacha kwa mbali wagombea wengine 5,, uchaguzi umeisha alfajiri hii
Dr. Slaa katika mkutano wa uchaguzi
Wajumbe katika mkutano wa uchaguzi