Nadhani yeye ndio atakuwa mlevi kuongea maneno kama yale.
Ukiacha wabunge, alijaribu kuangalia na wale wanaoongoza vikao vya jioni nao hawapulizi kitu fulani kabla ya kukalia kiti?Job Ndugai Naibu wa Speaker... amesema baadhi ya wabunge wa bunge lajioni wengi wanakuja wameisha lewa, wamevuta sigara mbali mbali, wanakuwa wamelamba vitu mbalimbali!!
Kama kweli kamtaja H. Mdee Mh Mdee ashitakiwe na Mh Ndugai awe shahidi kwa kuwa kubwia unga au kuvuta bangi ni kosa la jinai. Lakini Swali: Ndugai alimuona wapi? Ndiye anayemuwashia hilo ganja?
Kama kweli kamtaja H. Mdee Mh Mdee ashitakiwe na Mh Ndugai awe shahidi kwa kuwa kubwia unga au kuvuta bangi ni kosa la jinai. Lakini Swali: Ndugai alimuona wapi? Ndiye anayemuwashia hilo ganja?
hana cha picha wala nini, ingekuwepo inge-pamba front page ya gazeti la uhuru