Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Nadhani Ndugai atakuwa nayo hiyo picha, muombe tuNdugai anasema kwamba wakati anamwamlisha Halima mdee akae chini alipoomba kutoa taarifa wakati Naibu spika anataka kutoa maamuzi kwenye issue Mh. Ndugulile.
Mh. Ndugai anasema Mh. Mdee alikuwa akimuonyesha kidole cha kati.
Kama kuna mtu anapicha ya hilo tukio naomba aiweke hapa tuone kama anachosema ndugai ni kweli au laa...