KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Job Ndugai Naibu wa Speaker... amesema baadhi ya wabunge wa bunge lajioni wengi wanakuja wameisha lewa, wamevuta sigara mbali mbali, wanakuwa wamelamba vitu mbalimbali!!
Na kasema kampeni zinazofanyika mara nyingi ni za matusi kwenye mikutano kwa vyama vyote pamoja na chama chake cha CCM!! Amelaani sana viongozi kampeni za matusi kwenye mikutano....
Source: Star Tv medani za siasa na uchumi.
Na kasema kampeni zinazofanyika mara nyingi ni za matusi kwenye mikutano kwa vyama vyote pamoja na chama chake cha CCM!! Amelaani sana viongozi kampeni za matusi kwenye mikutano....
Source: Star Tv medani za siasa na uchumi.
Nimemsikia akizungumza mengi, yakiwemo yanayojenga na mengine ya kipuuzi;
Yanayofaa ni kama wanasiasa wa wadhibitiwe waache matusi, kashfa na tuhuma zisizo na uthibitisho ndani na nje ya bunge.
Ya kipuuzi ni kama kusema wabunge huingia jioni wakiwa wamelewa, wanatumia madawa ya kulevya etc. kama ni kweli kwa nini asitumie nafasi yake kusaidia vyombo vinavyohusika kuwashughulikia?
Lingine la kipuuzi ni kuhusu mh. Halima Mdee kumuonyesha kidole cha kati kama ishara ya matusi, kwa nini asitumie taratibu na kanuni kuthibitisha na ili Halima aadhibiwe kwa kitendo hicho?
La kipuuzi zaidi ni yeye kushindwa kujua familia yake, hajui ana wake na watoto wangapi. Kama tunaongozwa na watu ambao hawajui hata idadi ya wanafamilia wao ni hatari kwa mustakabali wetu, mtu hawezi kuongoza familia anapewa jukumu la kuongoza taifa?