Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ni kama mara mbili JK amekuwa akisema kwenye kampeni zake kuwa vyama vya upinzani ni 'photocopy' na CCM ndio 'original'. Hivyo wadanganyika wachague 'original'. Hivi kati ya 'original' na 'photocopy' kipi utumika sana?
Hivi 'original' ikipotea, si photocopy inafaa sana kutumika? JK ameshindwa kuelewa kuwa cheti chetu 'original' (TANU then CCM) tulichokipata baada ya uhuru kilikwisha ibwa au potea mwaka 1985. Muda wote huo mpaka 2010 hatuna 'original', basi ni vyema sasa tutumie 'photocopy' yaani wapinzani hasa Chadema!! Na hayati Nyerere alishaona kuwa Chadema ndio 'photocopy' ya CCM mara CCM inapo poteza uelekeo!!
Suala ni 'content', content ile ile lakini 'original' imepotea. Marehemu Horace Korimba alikwisha sema 'CCM original' imepotea yaani aina dira wala uelekeo. Phtocopy ya CCM original kwa sasa ni Chadema, mfano huduma muhimu kama elimu na afya bure; CCM ya sasa hilo haliwezekani lakini ile ya kabla ya 1985 iliwezekana!!!!!!
Hivi 'original' ikipotea, si photocopy inafaa sana kutumika? JK ameshindwa kuelewa kuwa cheti chetu 'original' (TANU then CCM) tulichokipata baada ya uhuru kilikwisha ibwa au potea mwaka 1985. Muda wote huo mpaka 2010 hatuna 'original', basi ni vyema sasa tutumie 'photocopy' yaani wapinzani hasa Chadema!! Na hayati Nyerere alishaona kuwa Chadema ndio 'photocopy' ya CCM mara CCM inapo poteza uelekeo!!
Suala ni 'content', content ile ile lakini 'original' imepotea. Marehemu Horace Korimba alikwisha sema 'CCM original' imepotea yaani aina dira wala uelekeo. Phtocopy ya CCM original kwa sasa ni Chadema, mfano huduma muhimu kama elimu na afya bure; CCM ya sasa hilo haliwezekani lakini ile ya kabla ya 1985 iliwezekana!!!!!!