Majuto Ngozi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 211
- 49
Hivi Karibuni Rais Kikwete Alikaririwa Akiwalaum Viongozi Wa Dini Kwa Kuwataka Waumini Wao Kuipigia Kura Ya Hapana Katiba Inayopendekezwa, Lakini Kikwete Huyu huyu Tangu Siku Ya Kuzindua Bunge Maalum La Katiba Alishadadia Na Na Kuikosoa Katiba Iliyotolewa Na Tume, Lakini Pia Yupo Mstari Wa Mbele Kuashinikiza Wananchi Kuipigia Kura Ya Ndio, Kwani Yeye Ana Haki Hiyo Kuliko Wengine?