JK, peleka jeshi ziwa Nyasa

Generalmwamunyange,shimbo na jesh zima sidhan kama wanafurahishwa na hilo la malaw kudai ziwa nyasa ni lao.
 
Jeshi la wananchi wa tz kwa ujumla linasubiri amri kutoka kwa jk,na tunawapiga kwa kikosi cha brigedi ya magharib tu.
 
Malawi inatoa wapi kiburi cha kutangaza sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni sehemu yake?hivi si kwamba sisi tumezembea mipaka yetu hadi jirani wameona udhaifu wetu?Hivi enzi za Mwalimu Nyerere Malawi wangethubutu?Kimsingi hata nchi jirani wameona udhaifu wa aina ya Uongozi tulio nao,uongozi hata kwenye mambo ya msingi unasema upepo utapita.
Serikali ya awamu ya nne chini ya utawala dhaifu wa JK,umeshindwa hata kulinda mipaka yetu,haingii akilini kuwa sasa nchi yetu imekuwa haina ulinzi wa kutosha kwenye mipaka hadi kusababisha mamia kama sio maelfu ya wahamiaji haramu kukamatia maeneo ya Katikati ya nchi,hii inaonyesha kuwa mipaka yetu haipo salama.
Sababu ya kuipiga Malawi tunayo,Uwezo tunao,na nia tunayo,JK peleka jeshi ziwa nyasa,angalau katika hili utakumbukwa kwalo kuwa ulisimama imara kuitetea mipaka ya Jamhuri yetu,kuendelea kukaa kimya kunawapa Malawi advantage a hivyo kuadhiri wananchi kwa ujumla kisaikolojia,ni lazima serikali yako ichukue hatua
Kuna uzi mwaka jana ulitemebea hapa kuna mtu alielezea jinsi mipaka yetu inavyobadilishwa bim alisema pembe zote mpaka na Uganda ,Burundi,Ruanda,Kenya ,Zambia Malawi akaema upande wa malawi wamesogeza bim kwa mbali sana watu tulichangia lakini wengine wakasema mipaka yetu iko salama sijui kama kulikuwa na ufutiliaji
 
Tunacho kikosi imara pale Kyela tangia enzi za Nyerere. Huwa nawaona wanafyeka majani baadae wanacheza draft wakisubiri mtu akatishe uwanja wa jeshi wamsulubishe. Ukienda Itungi port utakuta kuna kaboat ka zamani sana hambako hurusiwi kukapiga picha eti ni kifaa cha kivita. Sina uhakika kama hata mafuta ya h

patrol yanatolewa na serikali maana sijawahi kuiona katikati ya ziwa.

Nafikiri huyu mama wa Malawi atatuamsha usingizini sasa.

JK kama utahitaji askari wa akiba, naomba unihesabu mimi, maana tangu nimetoka JKT sikamua triga wala kuosha mtutu kwa mdeki.
Haaaaa haa Mkuu umenifurahisha sn! Hata mm nimeshawahi kukaona hako kaboti!!
 
Hayahaya wanajeshi wetu vita hyo inakuja yale mazoezi mliotuonyesha sabasaba na sherehe za uhuru tunataka mka-apply ziwa nyasa lol.
 
Hahahaha nimependa hii post,ila tukae tukijua uzalendo umeisha kabisa hii nchi,wakimalizana na Mama Banda,atakuja Kagame na Kenya watautaka mlima wao,watupe Mombasa,ambayo Zbar wanaitaka Mombasa yao na Tanga.

Sisi tubakie na Madini yentu ndio tujipange upya kufukuza wezi wote wa madini,kamata wote walioingiza nchi kwenye mikataba fake,tutafute wawekezaji wapya kwenye madini na hilo bomu jipya la gesi!!
Hii iwe alarm kutuamsha kuwa wenzetu wako serious na rasilimali zao kwa manufaa ya nchi zao na wananchi,sisi tunafikiria upana wa familia zetui na bank account zetu tu!
Tunahitaji ukombozi wa fikra na uzalendo uweze kurudishwa kwa kizazi hiki la sivyo tutakuja kusaidia nchi jirani kuchukua wanachotaka maana tabaka tawala limeua uzalendo wa nchi hii!!
 
Jeshi la wananchi wa tz kwa ujumla linasubiri amri kutoka kwa jk,na tunawapiga kwa kikosi cha brigedi ya magharib tu.

Mkuu huwezi kutoa amri wakati huna hata coin pale hazina unapiganisha kwa upepo utapita?pale hakuna longo longo,kupeleka tu askari 500 pale mpakani si zaidi 10bil ,kama anahaha kulipa mishahara tu acha maendeleo na saving,ataweza peleka jeshi pale?aibu!ataenda nje kulia njaa wampe pesa kufanya hivyo!!vipi hao wanaotoa pesa wakawapa Wamalawi au wameshawapa,ili watushikishe adabu na kutoa ufisadi mkubwa uliopo kwa njia hiyo??au kuwasaidia Wamalawi kuongeza pato na uwiano wa rasilimali,maan sisi tumejaaliwa na rasilimali ila hadi leo hatujui kwa nini tumependelewa hizo mali,tunapiga usingizi:wenzetu wameamka!!acha wachukue uwezo kupeleka jeshi hatuna atachukuaa pesa za mishahara na pensheni zote na nchi itaishia hapo!!
 
huyu wa kwetu ni mdhaifu sana mbele ya kina mama,Angalieni isijeikawa kahonga ziwa nyasa anatuzuga tuu,kama sio mbona hajatoa kauli yoyote
 
Hili la Malawi kudai ziwa Nyasa lilishawahi kuibuka mwaka 1979 wakati ule Rais alikuwa Nyerere tena ilikuwa ni baada tu ya kumng'oa Iddi amin.
Alichofanya Nyerere ni kupeleka majeshi mpakani mwa Tz na Malawi cha ajabu Wamalawi hawakuendeleza chkochoko mpaka leo ndio wameamua kulianzisha tena.

Saa hizi wanajua nchi haina mwenyewe ndio maana wanaleta ujinga.
 
Haaaaa haa Mkuu umenifurahisha sn! Hata mm nimeshawahi kukaona hako kaboti!!

Yale mabomu ya mbagala na gongolamboto yamepata kwa kuyapeleka ili yasiripuke tena mwakani, Jk mama Banda anaomba mechi ya kirafiki!
 
hapo ndo jeshi linatakiwa itumike,siyo kuzuia maandamano,na wananchi wanaodai haki zao,kama wana ubavu wapelekwe huko
na hapa ndo mahali J.K anatakiwa kurudisha heshima yake kwa kuwatandika Wamalawi angalau tuwe na kakumkumbuka
 
Mabomu yanayolipuka daily mbagala na gongo la mboto naona sasa yanataka kupata pa kwenda!
 
Dhaifu kwa biashara za mafuta namkubali!
Inawezekana ametupiga changa la macho kwa kuzungukia Malawi...yaani muongo muongo kama Mbwiga wa Mbwiguke!
 
Wanajeshi I am sure watakuwa alert kule. Lakini haya yote yanasababiswa na Membe kuwaza Urais badala ya kufanya kazi yake.
 
Jamani acheni itikadi ya vyama tushikamane katika hili la nchi yetu. Embu tuwe wazalendo wa nchi mama yetu Tanzania! Hapa hakuna cha ccm au chadema..mm
 
Serikali ya CCM inaona kuwa adui yake ni Chadema tu hivyo uvamizi toka nje ya mipaka yetu hiyo haiwahusu, ungeona leo Polisi CCM walivyatanda Morogoro ndiyo ungejua kuwa adui namba moja wa seikali ni Chadema.
 
Back
Top Bottom