JK kuhutubia Taifa leo kupitia uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru EAST

shykwanza

Senior Member
Nov 28, 2011
156
30
Kuna tetesi zimeenea kuwa leo hii Mwenyekiti wa CCM Taifa Mh JK atahutubia taifa kupitia mkutano wa ufunguzi wa kampeni wa chama chake cha CCM. Atafanya hivyo kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe; Hivyo basi hii itakuwa suprise kwa Watanzania wote, nataarifa zilizopatikana hadi sasa ule mkutano wake na Wazee wa DSM umehairishwa hadi mwisho wa mwezi huu
 
duuuuuuuuh.. huyu jamaa nani huwa anamshauri lakini? mbona anafanya vitu visivyoelewekw kabisa! kweli tz tuna rais kiboko.
 
Kuna tetesi zimeenea kuwa leo hii Mwenyekiti wa CCM Taifa Mh JK atahutubia taifa kupitia mkutano wa ufunguzi wa kampeni wa chama chake cha CCM. Atafanya hivyo kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe; Hivyo basi hii itakuwa suprise kwa Watanzania wote, nataarifa zilizopatikana hadi sasa ule mkutano wake na Wazee wa DSM umehairishwa hadi mwisho wa mwezi huu

Hii kali, kwa njia gani TV au Redio?
 
Sasa atatoa ahadi nyingine 60?? au atarejea ahadi alizotoa ??

angalieni asiwaharibie kampeni, maana naskia alikua hamtaki Siyoi
 
Kuna tetesi zimeenea kuwa leo hii Mwenyekiti wa CCM Taifa Mh JK atahutubia taifa kupitia mkutano wa ufunguzi wa kampeni wa chama chake cha CCM. Atafanya hivyo kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe; Hivyo basi hii itakuwa suprise kwa Watanzania wote, nataarifa zilizopatikana hadi sasa ule mkutano wake na Wazee wa DSM umehairishwa hadi mwisho wa mwezi huu
Hivi huachi tabia yako ya kuropoka? Utakuwa lini? Rais kweli ahutubie Taifa kupitia mkutano wa Kampeni ndogo kama hizo, inaonekana umekonda sana kutokana na kipenzi cha wengi kuwa pale magogoni.
 
Aende na kadi ya mpiga kura ya Siyoi, haiwezekani Siyoi awageuze watu wa Meru kuwa MUNDU wampigie kura wakati yeye hajipigii
 
Atahutubia Taifa kupitia ufunguzi wa Kampeni?
Kwani anakwenda kwenye huo ufunguzi kama Rais wa nchi ama kama Mwenyekiti wa CCM?
Haya siyo matumizi mabaya ya Taasisi ya Urais Jamani?
 
Kikwete ni raisi, anauwezo wa kuhutubia popote paleanapoamua.
 
Back
Top Bottom