Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 615
Ukiugua chochote utakachoambiwa kuwa ni dawa hapana shaka utakunywa tu hata kama huo ni uchafu
Napita tuuuuu
Napita tuuuuu
Atahutubia Taifa kupitia ufunguzi wa Kampeni?
Kwani anakwenda kwenye huo ufunguzi kama Rais wa nchi ama kama Mwenyekiti wa CCM?
Haya siyo matumizi mabaya ya Taasisi ya Urais Jamani?
Thehe thehe thehe thehe. Umeona. Au ukiona jiwe limevalishwa Mask na kupewa jina la Dorika Siha haba utashangilia na kusema Baba Josephine, Baba Josephine, Baba Josephine. Manake sasa hivi limebaki kuwa kama jiwe, likiambiwa geuka huku linageuka.Ukiugua chochote utakachoambiwa kuwa ni dawa hapana shaka utakunywa tu hata kama huo ni uchafu
Napita tuuuuu
If this is true. Kweli our President is Hippopotamus! (Translate)
Sasa unabisha Rais kuhutubia Mkutano wa Chama chake kumbuka JK ni mwenyekiti wa CCM hivyo unaruhusiwa pia kushiriki kampeni za chama chake kama wafanyavyo kina mbowe. Unge kuwa na akili sawa ungepinga Rais kuwahutubia Wazee wa CCM DarJF inaanza kupoteza mwelekeo na Members wengi humu sasa hivi wanapoteza uwezo wa kufikiri vizuri, ningependekeza Mods na Invisible mrudishe utaratibu wa kureview thread kabla hamjairuhusu kukaa hapa. hizi ni thread za kizembe na kitoto kabisa.
Hata kama CCM wakimleta Marehemu Baba wa Taifa, Arumeru wataisikia kwenye bomba tu.
Kuna tetesi zimeenea kuwa leo hii Mwenyekiti wa CCM Taifa Mh JK atahutubia taifa kupitia mkutano wa ufunguzi wa kampeni wa chama chake cha CCM. Atafanya hivyo kujibu mapigo ya Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe; Hivyo basi hii itakuwa suprise kwa Watanzania wote, nataarifa zilizopatikana hadi sasa ule mkutano wake na Wazee wa DSM umehairishwa hadi mwisho wa mwezi huu
duuuuuuuuh.. huyu jamaa nani huwa anamshauri lakini? mbona anafanya vitu visivyoelewekw kabisa! kweli tz tuna rais kiboko.
Kikwete ni raisi, anauwezo wa kuhutubia popote paleanapoamua.
Hii kali, kwa njia gani TV au Redio?