Kwa sababu kkazoea usanii, kwa serikali serious kama ya Dr. Slaa hawezi kufanya chochote! atafungwa bure.
katika serikali ya Dr. Slaa JK hawezi kuwa kiongozi katika nafasi yoyote sijui labda kama anaweza kujibadilisha lakini kwa huyu NO nO No
mmmmh give me time to think,i don hav a real position to propose here maybe wakasaidiane na sheikh yahaya katika zile kazi zao