Hafai kuwa hata uwaziri wa jikoni maana ataiba na mboga.Mi napendekeza apewe michezo na utamaduni!! Sidhani kama wadau mtapenda asimamie fedha! au mnaonaje wadau? kama vp tusimpe kitu labda Dovutwa!!
Mimi msanii simpi kura yangu. sasa aweje waziri wa sanaa?mbona umempendelea?? Waziri wa wasanii ndo inamfaa
Mi napendekeza apewe michezo na utamaduni!! Sidhani kama wadau mtapenda asimamie fedha! au mnaonaje wadau? kama vp tusimpe kitu labda Dovutwa!!
Awe in charge of Kamati ya Miss Tz, Utalii, MNet face of Africa & kusaka misaada from western countries ili tuwaondoe omba omba mitaani
Mi napendekeza apewe michezo na utamaduni!! Sidhani kama wadau mtapenda asimamie fedha! au mnaonaje wadau? kama vp tusimpe kitu labda Dovutwa!!