Mungu anampenda sana JK na ndiyo maana ananyamaza 2 wachonge hadi mwisho, mimi naamini wanasiasa na hasa SLAA walishamweka sir GOD pembeni ndo maana kila siku kumzushia JK, Mungu atawatandika tu hawana lolote, yule ni mtawala aliywekwa na watu kupitia Mungu wao, so choko choko zozote dhidi yake, mwenyezi mungu anazimaliza kwa kuwaadhibu kimya kimya. SLAA hivi sasa aanajaribu kufuni kashfa ya ndoa zake mbili kwa kufuata fuata Rais, subirini litakapofumuka atakiona cha mtema kuni, malipo ni hapa hapa duniani. Aameshau ana deni kwa Mungu la kuasi kanisa na hajatubu.Wewe Nyumba!
Pamoja na chuki zako kwa Dhaifu which is your right hatutaki uchuro kutawaliwa na Mzanzibar even for three months we are not ready! Hasara ya kutawaliwa na Yule Alhaji Mwinyi it's too bad Kama Dhaifu akitutoka while he is in power kwani huyu Taliban Makamu wa Rais Bilali ni bomu kumzidi Mwinyi.
Kwenda kumuaga Rais mwenziwe ni sehemu ya kazi yake...Jk hawezi ku-miss msiba wa Meles.
..the thing is hata kwenda kwenye msiba inabidi walipa kodi tumlipe.
..Kweli kwa tanzania uraisi ni urahisi.
mbona misiba ya bagamoyo haendi?
so, who is next?acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!duh!jk sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda usa na marehemu prof. John atta mills aliyekuwa rais wa ghana na melles zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo ghana,ethiopia na tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!
Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!
Hapo kwenye red ulikuwa na haraka gani?Halafu huna aibu kabisa hapo kwenye blueMungu anampenda sana JK na ndiyo maana ananyamaza 2 wachonge hadi mwisho, mimi naamini wanasiasa na hasa SLAA walishamweka sir GOD pembeni ndo maana kila siku kumzushia JK, Mungu atawatandika tu hawana lolote, yule ni mtawala aliywekwa na watu kupitia Mungu wao, so choko choko zozote dhidi yake, mwenyezi mungu anazimaliza kwa kuwaadhibu kimya kimya. SLAA hivi sasa aanajaribu kufuni kashfa ya ndoa zake mbili kwa kufuata fuata Rais, subirini litakapofumuka atakiona cha mtema kuni, malipo ni hapa hapa duniani. Aameshau ana deni kwa Mungu la kuasi kanisa na hajatubu.
kwa sababu hataweza kutumia passport yake
Mungu anampenda sana JK na ndiyo maana ananyamaza 2 wachonge hadi mwisho, mimi naamini wanasiasa na hasa SLAA walishamweka sir GOD pembeni ndo maana kila siku kumzushia JK, Mungu atawatandika tu hawana lolote, yule ni mtawala aliywekwa na watu kupitia Mungu wao, so choko choko zozote dhidi yake, mwenyezi mungu anazimaliza kwa kuwaadhibu kimya kimya. SLAA hivi sasa aanajaribu kufuni kashfa ya ndoa zake mbili kwa kufuata fuata Rais, subirini litakapofumuka atakiona cha mtema kuni, malipo ni hapa hapa duniani. Aameshau ana deni kwa Mungu la kuasi kanisa na hajatubu.[/QUOTE
aiseee baba yangu kweli unamatope machoni ndio maana ujui hata kuandika nadhani hata kusoma haujui
njoo rombo 2lime maana unapoteza muda mjini
Acha matusi kereng'ende wewe,jibu hoja kwanini asiende kwenye msiba siyo unarukia kutukana tu!
Duh!JK sijui anajionaje sasa hivi aisee maana mwezi wa sita walikwenda USA na marehemu Prof. John Atta Mills aliyekuwa rais wa Ghana na Melles Zenawi kwenye ule mradi mkubwa wa kilimo ambapo Ghana,Ethiopia na Tanzania zikachaguliwa kuwa nchi pekee zitakazojumuishwa kwenye mradi huo,ndani ya miezi miwili kabaki peke yake wenzake wote wawili wamefariki duh!!