Ndani ya mwezi mmoja Ndege ya Tanzania imetumika kwa hasara karibia Milioni 300. Tunaoumia ni sisi walipa kodi

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Habari wadau.

Sisi wafanyabiashara tunajitahidi kulipa kodi hata wakati ambao hatuoni faida lakini tunalipa ili nchi isonge!

Lakini ajabu matumizi ya kodi zetu hayaheshimiwi hata kidogo!

Yanga siyo timu ya taifa Bali ni club binafsi inayomilikiwa na wafanyabiashara wanaofaidika na uwekezaji katika soka ambao ni kina gharibu na washirika wenzake kutoka msoga (GSM). Kuitumia kodi vibaya ni kutudharau sana sisi walipa kodi tunaojinyima ili taifa lisonge!

Kutumia pesa vibaya ni kutubebesha mzigo mkubwa zaidi sisi wananchi!
Baadae CAG akipitia shirika la ndege itaonekana linajiendesha kwa hasara.
Ndani ya mwezi mmoja ndege ya shirika inazurura bure tu!
1. Ilisafiri kwenda Dodoma kwenye msiba wa lemutuz
2. Ilisafiri kwenda Mwanza kwa Nimrod
3. Imesafirisha mashabiki kwenda na kurudi Algeria
4. Inakwenda mbeya

Jumla ya gharaza za uendeshaji wa hizo safari ni takribani 250M plus Air allowance 50M. Zaidi ya 300M zinapotea bure bure wakati huo kuna hospitali hazina dawa, madaraja hakuna watu wanasombwa na mafuriko, walimu mishahara duni, n.k

Tatizo la nchi hii siyo kodi bali matumizi mabaya ya kodi. Tunaoumia ni sisi tunaotafta kwenye jua na mvua.
 
Habari wadau.

Sisi wafanyabiashara tunajitahidi kulipa kodi hata wakati ambao hatuoni faida lakini tunalipa ili nchi isonge!

Lakini ajabu matumizi ya kodi zetu hayaheshimiwi hata kidogo!

Yanga siyo timu ya taifa Bali ni club binafsi inayomilikiwa na wafanyabiashara wanaofaidika na uwekezaji katika soka ambao ni kina gharibu na washirika wenzake kutoka msoga (GSM). Kuitumia kodi vibaya ni kutudharau sana sisi walipa kodi tunaojinyima ili taifa lisonge!

Kutumia pesa vibaya ni kutubebesha mzigo mkubwa zaidi sisi wananchi!
Baadae CAG akipitia shirika la ndege itaonekana linajiendesha kwa hasara.
Ndani ya mwezi mmoja ndege ya shirika inazurura bure tu!
1. Ilisafiri kwenda Dodoma kwenye msiba wa lemutuz
2. Ilisafiri kwenda Mwanza kwa Nimrod
3. Imesafirisha mashabiki kwenda na kurudi Algeria
4. Inakwenda mbeya

Jumla ya gharaza za uendeshaji wa hizo safari ni takribani 250M plus Air allowance 50M. Zaidi ya 300M zinapotea bure bure wakati huo kuna hospitali hazina dawa, madaraja hakuna watu wanasombwa na mafuriko, walimu mishahara duni, n.k

Tatizo la nchi hii siyo kodi bali matumizi mabaya ya kodi. Tunaoumia ni sisi tunaotafta kwenye jua na mvua.
"Unachuki na yanga" utaambiwa hivyo though mada ipo kisiasa/maendeleo si mada ya sport
 
Nchi inatangazwa kupitia Soka kama zilivyo Nigeria na Nchi zingine shida bongo mnaaminj mkisoma sayansi kimu na kufundisha ndio maisha kumbe michezo nayo ni sehemu sahihi ya watu kufanikiwa kwenye maisha na wakitoka hawabahatishi ni vile sisi tuko nyuma sana...
 
Nchi inatangazwa kupitia Soka kama zilivyo Nigeria na Nchi zingine shida bongo mnaaminj mkisoma sayansi kimu na kufundisha ndio maisha kumbe michezo nayo ni sehemu sahihi ya watu kufanikiwa kwenye maisha na wakitoka hawabahatishi ni vile sisi tuko nyuma sana...
Jifunze basi nchi zilizoendelea kimichezo kama bara la ulaya kama kuna ujinga huo wakupeleka club kucheza nje ya nchi na bendera ya taifa
 
Jifunze basi nchi zilizoendelea kimichezo kama bara la ulaya kama kuna ujinga huo wakupeleka club kucheza nje ya nchi na bendera ya taifa
Nijifunze nini wakati huko ndio nakoshinda wanatumia budget kubwa sana kwenye michezo shida yenu mmedumaa nenda hapo Madrid Stadium yao ukajifunze kitu pana tour pale kila siku unalipia kwa kuingia na kuangalia museum yao ni €21 tuu...
 
Habari wadau.

Sisi wafanyabiashara tunajitahidi kulipa kodi hata wakati ambao hatuoni faida lakini tunalipa ili nchi isonge!

Lakini ajabu matumizi ya kodi zetu hayaheshimiwi hata kidogo!

Yanga siyo timu ya taifa Bali ni club binafsi inayomilikiwa na wafanyabiashara wanaofaidika na uwekezaji katika soka ambao ni kina gharibu na washirika wenzake kutoka msoga (GSM). Kuitumia kodi vibaya ni kutudharau sana sisi walipa kodi tunaojinyima ili taifa lisonge!

Kutumia pesa vibaya ni kutubebesha mzigo mkubwa zaidi sisi wananchi!
Baadae CAG akipitia shirika la ndege itaonekana linajiendesha kwa hasara.
Ndani ya mwezi mmoja ndege ya shirika inazurura bure tu!
1. Ilisafiri kwenda Dodoma kwenye msiba wa lemutuz
2. Ilisafiri kwenda Mwanza kwa Nimrod
3. Imesafirisha mashabiki kwenda na kurudi Algeria
4. Inakwenda mbeya

Jumla ya gharaza za uendeshaji wa hizo safari ni takribani 250M plus Air allowance 50M. Zaidi ya 300M zinapotea bure bure wakati huo kuna hospitali hazina dawa, madaraja hakuna watu wanasombwa na mafuriko, walimu mishahara duni, n.k

Tatizo la nchi hii siyo kodi bali matumizi mabaya ya kodi. Tunaoumia ni sisi tunaotafta kwenye jua na mvua.


Unaumia sehemu ipi ya Mwili?
 
Mama kasema kabisa pale mkurugenzi wa ATCL kampelekea invoice ya malipo hiyo hasara umeipataje mkuu?
 
Back
Top Bottom