Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Tumia hiyo kama fursa ya kujenga ua uliofunikwa
 
Unaongea hvyo kwa maana hujui lolote kwenye vile alichofanya hyu jirani yangu

Kwanz nimegundua kuwa maji yote ya jengo lake yatamwagikia kwangu
Kwa la maji una point, mpe tahadhari mapema ili msije mkaanza kupelekana mahakamani na kuvunjiana nyumba, design nyingine ni gross violation of space, abadilishe na umpe clear asipofanya hivyo utamshtaki
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Ghorofa likiisha na wewe ushakuwa mchawi Mbobezi!
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Utakuta wewe ndiye huyo jirani anayejenga ghorofa unataka kumhamisha jirani yako bila kelele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom