Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Acha upumbafu wee mm nimuoneaa wivu mtumishi wa umma ,kwann nimpigemajungu mm wakt. Ndugu zangu wengi Ni watumish wa umma na wanan maghorofa Yao

Mm hoja yangu Ni hi ya usalama wanngu kuwa mashakamni habrai za utumishi wa umma mm hio sijali

Hiv ungejuwa gari. Anayobandua huyo mtumishi wa umma Basi ungekaha kimya tu
kauli zako ndizo zinaonyesha una wivu maana umeanza mtumishi wa umma , uliona shida gani kusema jirani yako mpaka ukaamua sema mtumishi wa umma. Hiyo kauli inaonyesha ni jinsi gani unachuki na wivu na watumishi wa umma. Halafu usalama gani unaosema eti unaona huna usalama. Ndiyo maana kila mtu anakushangaa na kukuona wa ajabu . Mbona wenzio wenye nyumba za chini kama wewe hawajalalamika? Eti mtumishi wa umma/serikali
 
Hakuna Pazia au vioo tinted...

Ila ndio maana nchi zilizoendelea kuna mipango miji ambapo kila mtaa ambao ni high density kuna aina ya nyumba za kujenga kama ni maghorofa wote ni maghorofa kama wote ni aina fulani ya nyumba basi wote ni hivyo....
 
Iga mfano huu,
Akili hizi za wakenya hawanaga dogo maana kukimbia hawawezi
 

Attachments

  • mikenya.jpg
    mikenya.jpg
    63.1 KB · Views: 3
Ndo maana matajiri wengi wanapata maradhi mbali mbali kwasababu ya kuhusudiwa na wapuuzi kama hawa kwanini unataka kupunguza kasi Ya ukuaji wa uchumi kwa taifa?

Serikali ifanye marekebisho ya sheria WACHAWI PIA WANAINGIA KATIKA KESI ZA UHUJUMU UCHUMI

Uyu naye eti ni Baba wa Familia yani kwa roho yako shukuru upo tanzania ungekuwa Dizonga mzee kwa roho iyo ushaenda siku nyingi.
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Na wewe jenga ghorofa mdogo mdogo
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Yaani jirani umekuja kuweka picha ya site yangu mtandaoni?
 
Ndo maana matajiri wengi wanapata maradhi mbali mbali kwasababu ya kuhusudiwa na wapuuzi kama hawa kwanini unataka kupunguza kasi Ya ukuaji wa uchumi kwa taifa?

Serikali ifanye marekebisho ya sheria WACHAWI PIA WANAINGIA KATIKA KESI ZA UHUJUMU UCHUMI

Uyu naye eti ni Baba wa Familia yani kwa roho yako shukuru upo tanzania ungekuwa Dizonga mzee kwa roho iyo ushaenda siku nyingi.
Hkna popote nimesema kuwa nitamfanyia ubaya Wala ulozi jiranj yangu nimesema sipendezwi jinsi alivyo seti gorofa lake na balcony

Mm siyo mchawi ndugu mwanajamii forum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom