dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,606
- 16,275
- Thread starter
- #261
Arusha municipal burka estate areaKipo wapi chief?
Arusha municipal burka estate areaKipo wapi chief?
kauli zako ndizo zinaonyesha una wivu maana umeanza mtumishi wa umma , uliona shida gani kusema jirani yako mpaka ukaamua sema mtumishi wa umma. Hiyo kauli inaonyesha ni jinsi gani unachuki na wivu na watumishi wa umma. Halafu usalama gani unaosema eti unaona huna usalama. Ndiyo maana kila mtu anakushangaa na kukuona wa ajabu . Mbona wenzio wenye nyumba za chini kama wewe hawajalalamika? Eti mtumishi wa umma/serikaliAcha upumbafu wee mm nimuoneaa wivu mtumishi wa umma ,kwann nimpigemajungu mm wakt. Ndugu zangu wengi Ni watumish wa umma na wanan maghorofa Yao
Mm hoja yangu Ni hi ya usalama wanngu kuwa mashakamni habrai za utumishi wa umma mm hio sijali
Hiv ungejuwa gari. Anayobandua huyo mtumishi wa umma Basi ungekaha kimya tu
🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️Matumizi mabaya ya stress.
Hii sasa kimeo sishauri kabisaIga mfano huu,
Akili hizi za wakenya hawanaga dogo maana kukimbia hawawezi
Na wewe jenga ghorofa mdogo mdogoWakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.
Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Kwa akili hizi tuongezewe virutubisho zaidi na zaidiOfocz ila sipataki Huko nataka maeneo yasio kuwa na magorofa
Yaani jirani umekuja kuweka picha ya site yangu mtandaoni?Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.
Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Hkna popote nimesema kuwa nitamfanyia ubaya Wala ulozi jiranj yangu nimesema sipendezwi jinsi alivyo seti gorofa lake na balconyNdo maana matajiri wengi wanapata maradhi mbali mbali kwasababu ya kuhusudiwa na wapuuzi kama hawa kwanini unataka kupunguza kasi Ya ukuaji wa uchumi kwa taifa?
Serikali ifanye marekebisho ya sheria WACHAWI PIA WANAINGIA KATIKA KESI ZA UHUJUMU UCHUMI
Uyu naye eti ni Baba wa Familia yani kwa roho yako shukuru upo tanzania ungekuwa Dizonga mzee kwa roho iyo ushaenda siku nyingi.
Iko wapi yakoYaani jirani umekuja kuweka picha ya site yangu mtandaoni?
Cpe di gorofa mmNa wewe jenga ghorofa mdogo mdogo
Ustawi wa familia tu mkuuKwani hapo kwako unataka ulime bangi