Jana usiku mida ya saa 3 na nusu usiku tulisikia yowe likitokea nyumba ya jirani tukadhani wamevamiwa na wezi tukatoka kwenda kusaidia,kufika huko tukakuta mama mmoja jirani yetu akipiga kelele kwa sauti nje ya nyumba yao lakini hatujaona wezi wala watu wengine.
Baada ya muda wakumtuliza akatusimulia kuwa mumewe kwenye saa 3 kasorobo alimuaga anaenda kuangalia mpira nyumba ya jirani ambayo wana TV kubwa.
Baada ya muda mama akakumbuka hajaanua nguo uwani akatoka kwenda kuzichukua. Ile kuzunguka nyumba tu anakuta kuna mwanamme kainama na mwingine yuko nyuma yake anamshugulikia.
Kuangalia vizuri akaona wa mbele ni mumewe na huyu wa nyuma ni kijana mmoja wa mtaani. Akapiga yowe wakakimbia na kuruka ukuta wa nyuma.
Mume mpaka sasa hajulikani alipo na ni bonge la mtu futi 6 na inchi kadhaa lililo shiba sipati picha walianzaje. Hivi mtu hata kama una tabia hii ndio ufanya nyumbani kwako.
Jamaa ana kazi nzuri na mkewe anasema hajaona tofauti yoyote na wana mtoto mmoja wa miaka 2.
Baada ya muda wakumtuliza akatusimulia kuwa mumewe kwenye saa 3 kasorobo alimuaga anaenda kuangalia mpira nyumba ya jirani ambayo wana TV kubwa.
Baada ya muda mama akakumbuka hajaanua nguo uwani akatoka kwenda kuzichukua. Ile kuzunguka nyumba tu anakuta kuna mwanamme kainama na mwingine yuko nyuma yake anamshugulikia.
Kuangalia vizuri akaona wa mbele ni mumewe na huyu wa nyuma ni kijana mmoja wa mtaani. Akapiga yowe wakakimbia na kuruka ukuta wa nyuma.
Mume mpaka sasa hajulikani alipo na ni bonge la mtu futi 6 na inchi kadhaa lililo shiba sipati picha walianzaje. Hivi mtu hata kama una tabia hii ndio ufanya nyumbani kwako.
Jamaa ana kazi nzuri na mkewe anasema hajaona tofauti yoyote na wana mtoto mmoja wa miaka 2.