Tanzanite1
Member
- Apr 17, 2010
- 23
- 0
sasa si angewakamata kimya kimya, kelele izo ndo ishakua aibu mtaa mzima na kwa familia nzima!!
Hii ni maana nyingine ya big screen.....hivi sasa naacha rasmi kutumia kisingizio cha big screen.....TV kubwa = Big screen sio? yaani mpaka hili kombe la dunia kuisha tutasikia vituko vingi kweli kweli.
Teh teh teh ustake ncheke miye
Mungu atusamehe sana ..Naona Sodoma na Gomora inaendelea kwa kasi ya ajabu
Hayo ndio madhara ya mke kumpa tigo mumewe na mwishowe mumewe kunogewa na kwenda kuanza kuliwa yeye.....mla huliwa
Badala umuombee kwa mungu unacheka :tsk:
Hii ni maana nyingine ya big screen.....hivi sasa naacha rasmi kutumia kisingizio cha big screen.....
:A S 109:....:A S-confused1:....:closed_2:
Huyo mama kakosea kupiga mayowe hii aibu naye anaipata.
Tutaaminije kama naye alikuwa haliwi?
Askofu huyu jamaa kaharibu kabisa maana ya big screen!
BTW: hivi dhambi inasameheka?
Tulifundishwaga mafundisho na sister kuwa siku za mwisho zikifika Yesu atakapokuja kuwahukumu wazima na wafu makosa yetu yataoneka kama kwenye projector kubwaaaa itakayokuwa hewani. Kama ni kweli mh? tutaona ya ajabu sana just imagine............ anakuwa ndio bosi wako aliyekuwa anakunyanyasa ofisini kumbe......