KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,068
Kwanza Kova atakuja na neno "Inteligensia" ili kuhalalisha hakuna maandamano.
Pili, serikali imebuni mbinu ya mahakama, ili hoja isijadiliwe. Hivyo, wasemaji wote wanaitumia mbinu hii,
Mfano, -Ishu ya mtekaji wa Ulimboka,
- Ishu ya madaktari
- Ishu ya balali kipindi kile nk
Wakuu hapa tutatokaje?
Pili, serikali imebuni mbinu ya mahakama, ili hoja isijadiliwe. Hivyo, wasemaji wote wanaitumia mbinu hii,
Mfano, -Ishu ya mtekaji wa Ulimboka,
- Ishu ya madaktari
- Ishu ya balali kipindi kile nk
Wakuu hapa tutatokaje?