MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
Kutokana na usumbufu nliokuwa naupata wa kuungaunga downloads,nikaamua kufanyia ka research hii kitu ya kukosa 3g signals ukienda mbali na mjini tu.
Najua inawakera wengi but before we go further,i must warn ya'll that,if u ain't a tech guy,dont try this at home!Mpelekee maelekezo haya yafuatayo mtaalam yeyote wa i.t wa karibu nawe ama ni p.m mimi tuangalie jinsi gani ya kusaidiana bila kujitia hasara!
Ili kuimprovise signal za 3G unahitaji kuwa na antenna kwa ajili ya modem yako!Sasa kuna baadhi ya modems zina port ya kuchomekea external antenna na nyingine hazina hizo port!
Kama modem yako haina hiyo port,inabidi kuifungua ndani na kuunganisha waya kwa ajili ya antenna!
Ili kusaidiwa zaidi,fungua modem yako,ipige picha ndani ilivyo,ipost hapa na utasaidiwa maelekezo ya jinsi ya kuunga waya wa antenna!
Pia inatakiwa uwe na antenna ndogo,eg.antenna mfano wa miba ya samaki(mnaijua nadhani)
Kazi kwenu!:glasses-nerdy:
Najua inawakera wengi but before we go further,i must warn ya'll that,if u ain't a tech guy,dont try this at home!Mpelekee maelekezo haya yafuatayo mtaalam yeyote wa i.t wa karibu nawe ama ni p.m mimi tuangalie jinsi gani ya kusaidiana bila kujitia hasara!
Ili kuimprovise signal za 3G unahitaji kuwa na antenna kwa ajili ya modem yako!Sasa kuna baadhi ya modems zina port ya kuchomekea external antenna na nyingine hazina hizo port!
Kama modem yako haina hiyo port,inabidi kuifungua ndani na kuunganisha waya kwa ajili ya antenna!
Ili kusaidiwa zaidi,fungua modem yako,ipige picha ndani ilivyo,ipost hapa na utasaidiwa maelekezo ya jinsi ya kuunga waya wa antenna!
Pia inatakiwa uwe na antenna ndogo,eg.antenna mfano wa miba ya samaki(mnaijua nadhani)
Kazi kwenu!:glasses-nerdy: