Jina: "jeshi la polisi" si sahihi.

Amiliki

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,085
1,004
Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo kila kitu kinachukuliwa na kupelekwa kisiasa kama tu kitakuwa kinawanufaisha Watawala.
Tanzania ni nchi pekee ambapo Polisi nao eti wanaitwa "JESHI" na hiyo ndiyo inayopelekea na wao kujiona kwamba ni Jeshi na kupelekea hata Kuua wakijihisi kwamba wako vitani.

Kwa uelewa wangu ni kwamba Polisi halipaswi kuitwa Jeshi labda kama wanataka jina la ziada basi waitwe RAIA WAKAKAMAVU.

NAWAKILISHA
 
utohozi zaidi


  1. The organized body of civil officers in a city, town, or district, whose particular duties are the preservation of good order, the prevention and detection of crime, and the enforcement of the laws.
  2. (v. t.) To make clean; as, to police a camp.
  3. (n.) A judicial and executive system, for the government of a city, town, or district, for the preservation of rights, order, cleanliness, health, etc., and for the enforcement of the laws and prevention of crime; the administration of the laws and regulations of a city, incorporated town, or borough.
  4. (n.) That which concerns the order of the community; the internal regulation of a state.
  5. (n.) Military police, the body of soldiers detailed to preserve civil order and attend to sanitary arrangements in a camp or garrison.
  6. (n.) The cleaning of a camp or garrison, or the state / a camp as to cleanliness.
  7. (v. t.) To keep in order by police.
 
Back
Top Bottom