Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,056
Kama Mungu angemjalia kuijuwa mioyo yetu wakazi wa Jimbo la Segerea sidhani hao wanaomdanganya kama angewaona ni watu wa maana.Mkuu kwa hali ilivyo sasa Segerea CCM kushinda is next to imposssible
Nakushauri jikite namna ya kukabiliana na kichaa wa kuzaliwa Lusinde ukawakomboe wanaMtera
Labda kama unataka kuongeza CV yako kwa namba za kushindwa kwenye michakato ya chaguzi
Nakumbuka wiki chache baada ya uchaguzi nilikwenda tabata kuna kina Mama walinilaumu sana na kunikejeli kwamba Makongoro licha kuchakachuwa ni kwa nini alipigiwa kura nyingi vile!!?? wakatulamu sana kwamba kata yetu imejaa mambumbumbu.
Yaani wao walichotaka kusikia ni kama kile kituo cha kata anayoishi Makongoro pale Segerea Makongoro aliambulia kura 3 na Diwani aliyeshinda ni wa Chadema.
Kwahiyo kwa lugh rahisi kata ya Segerea anayoishi Makongoro ndiko hapendwi zaidi kuliko kata nyingine yoyote, asikudanganye mtu joto la mabadiliko liko juu sana kuliko unavyoweza kudhani.