Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Kaka Bado tu hujakoma! Magamba wenzio kwanza hawakutaki. Ukija huku CDM pia hawawataki Wanafiki. Shetani hakutaki, Mungu kakukataa, sijui utakwenda wapi? Mbona kazi zipo nyingi, kwani lazima uwe mwanasiasa!
Mkuu una ugomvi nini na Baharia?