Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,114
Baharia, unaweza kutueleza hapa JF sababu ya kifo cha Ipyana Malecela? maana naona unataka kutupotezea muda wetu na mambo ya kijinga.
Field Marshal, jimbo la Segerea kuwa wazi soon? Unataka kumwua mbunge aliyeko? Au anaumwa? Mbona nimemwona majuzi akiwa bungeni akiwa mzima wa afya? This is serious!- Kuna dalili kubwa sana kwamba huenda hili jimbo likaishia kuwa open soon, I hope CCM wana plan B in works!, na siamini CDM watasimamisha the same candidate, lakini muhimu CCM wakaaanza kufikiria plan B! now!
Es!
Unaweza kutuambia kesi ikoje? Au umesoma tu magazeti fulani fulani na kusoma JF?Naona wana Segerea wanapambana kweli na jimbo lao ngoja kwanza tusuburi hukumu ya Mahanga. May 2 nadhani kwa jinsi hiyo kesi ilivyo Mahanga hawezi kuchomoka.
KWA NINI TUNAZUNGUMZIA UBUNGE MAPEMA HIVI? KWA HALI ILIVYO, HAKUNA NJIA, TUSUBIRI 2015, KAMA MAHANGA ATACHUKUA FOMU NDO USEME WAPI HAKUBALIKI NA WAPI ANAKUBALIKA. BADO MIAKA 3 NA NUSU. NA KAMA MAHANGA ANAFUATILIA MALALAMIKO HAYA, MNAMPA TU TAARIFA NI MAENEO GANI AYAFANYIE KAZI VIZURI KAMA ANATAKA TENA UBUNGE MWAKA 2015.Judi unaongea na wapiga kura wa segerea.
Anzia matumbi,tbt bima,mawenzi na Kimanga. Baracuda,MK bar,Kwa bibi na Seminari Mahanga Hakubariki!
Ugombolwa ndo hivyo Allieni anabana kinyerezi nako ni taiti.
Kisukuru nako niseme??????
Wewe tulia[/QUOTE sanene ndio kabisaa katavi kamwaga pombe wakamtosa
Plan B inatakiwa jimbo la Ubungo, siyo Segerea. Nasikia jimbo la Ubungo kesi imekaa vibaya sana kwa Mnyika. Hebu tujadili na kesi hiyo ya Ubungo, tuache kumwogopa Mahanga kiasi hicho. Jamaa akitaka kuchukua ubunge kwa mara ya NNE mwaka 2015, atachukua. Jamaa ni hatari! Ndiyo maana mnamjadili sana. upingeHamtaki awe mbunge miaka 20 hapa Dar es Salaam, lakini atakuwa.- Kuna dalili kubwa sana kwamba huenda hili jimbo likaishia kuwa open soon, I hope CCM wana plan B in works!, na siamini CDM watasimamisha the same candidate, lakini muhimu CCM wakaaanza kufikiria plan B! now!
Es!
Baharia, unaweza kutueleza hapa JF sababu ya kifo cha Ipyana Malecela? maana naona unataka kutupotezea muda wetu na mambo ya kijinga.
Plan B inatakiwa jimbo la Ubungo, siyo Segerea. Nasikia jimbo la Ubungo kesi imekaa vibaya sana kwa Mnyika. Hebu tujadili na kesi hiyo ya Ubungo, tuache kumwogopa Mahanga kiasi hicho. Jamaa akitaka kuchukua ubunge kwa mara ya NNE mwaka 2015, atachukua. Jamaa ni hatari! Ndiyo maana mnamjadili sana. upingeHamtaki awe mbunge miaka 20 hapa Dar es Salaam, lakini atakuwa.
Plan B inatakiwa jimbo la Ubungo, siyo Segerea. Nasikia jimbo la Ubungo kesi imekaa vibaya sana kwa Mnyika. Hebu tujadili na kesi hiyo ya Ubungo, tuache kumwogopa Mahanga kiasi hicho. Jamaa akitaka kuchukua ubunge kwa mara ya NNE mwaka 2015, atachukua. Jamaa ni hatari! Ndiyo maana mnamjadili sana. upingeHamtaki awe mbunge miaka 20 hapa Dar es Salaam, lakini atakuwa.
Kumbe CCM huwa inanunuwa kata na majimbo wakati wa uchaguzi!! Asante sana kwa taarifa, sasa na wewe ulishindwaje kuununuwa Ubunge wa Afrika Mashariki?- Kwa nini usianze na jinsi ulivyouza kata ya CDM kwa Mahanga kwanza kwenye uchaguzi uliopita kwa hela ndogo sana! ha! ha! ha! ha!
Es!