Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
- Thread starter
- #21
======Acha ushabiki huu usio na data. Kwani Kahama ndie aliyempa Ubunge Blandes au wana Karagwe wenyewe ndo waliamua awe Mbunge? au upo kambi ya huyo Kijana uliyemsifia hapo juu Mkuu??.
Mambo mengine ni vizuri mkayaangalia kwa mapana yake na kuacha "bias". Hivi ni vipi Blandes anatumia fedha za Sir George ili kumpitisha Mwanae Joseph Kahama mwaka 2015??? Otherwise ni kutuambia kuwa huko Karagwe hakuna wapiga kura badala yake jimbo ni mali ya Kahama's family ambapo Blandes nae alipewa na Kahama kwa masharti ya kulirejesha mwaka 2015!!! (a joke!!).
...Do you mean kwamba Sir George Kahama nae anahusika kwenye tuhuma za rushwa ulizodai awali zinamhusu Blandes kwa maana ya kuwa anamsaidia Blandes kifedha???
Umesema yote, sina cha kuongeza Ngoshwe.