Kawaida Atinga Jimbo la Hai "Mlikuwa na Mtu Asiye na Faida"

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,899
944

KAWAIDA ATINGA JIMBO LA HAI "MLIKUA NA MTU ASIYE NA FAIDA"

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Kawaida amefika kukagua na kujionea shule mpya ya msingi Saashisha iliyopo wilaya ya Hai iliyojengwa na serikali kwa gharama zaidi ya shilingi milioni 540.

Akizungumza baada ya kufika shuleni hapo, Kawaida amesema kwa kipindi kirefu jimbo la Hai lilikua na mbunge ambaye hakuelewa mahitaji ya watu wake na ndio mana maendeleo mengi yamefanyika kipindi hiki ambacho mbunge anatokana na chama cha mapinduzi.

Mbunge wa jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe amemshkuru rais Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kutoa fedha za ujenzi wa shule hiyo kwa watoto walikua wanatembea umbali wa Km 8 kufuata shule ya Hai Day.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.09.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.09.jpeg
    259.5 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.15.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.15.jpeg
    327.9 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.16(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.16(1).jpeg
    446.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.14.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.14.jpeg
    381.8 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.13.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.13.jpeg
    276.9 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.11(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.11(1).jpeg
    76.4 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.08.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.08.jpeg
    197.6 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.10.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.10.jpeg
    371.4 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.13(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-23 at 21.16.13(1).jpeg
    388.4 KB · Views: 1
Watoto wadogo komaeni kwanza kisiasa ndio mje kupambana na mwamba baba zenu wamemshindwa mpaka Kwa matirioni ya walipa Kodi itakua wewe tena hata jina linatoaha kuzibitisha wewe kawaida ni WA kawaida sana
 
Ni kichekesho. Mbona yeye anamshukuru raisi kwamba ametoa hela. Kwa hiyo na kule nyuma amlaumu raisi kwa kutotoa hela za kujenga.
Mbunge hatoi hela wala raisi, Bali hiyo ni Kodi ya wa-Tanzania.
Jamaa alikuwa anawanyima hela kwa sababu ya kuchagua upinzani. Kosa ni la nani
 
Watoto wadogo komaeni kwanza kisiasa ndio mje kupambana na mwamba baba zenu wamemshindwa mpaka Kwa matirioni ya walipa Kodi itakua wewe tena hata jina linatoaha kuzibitisha wewe kawaida ni WA kawaida sana
Watoto wamebalehe juzi na kuota mavyuzz juzikati wanataka ligi na kamanda wa anga??
Vitu vingine achaneni navyo hata kama mnataka kuonekana kwa mabosi wenu.
 

KAWAIDA ATINGA JIMBO LA HAI "MLIKUA NA MTU ASIYE NA FAIDA"

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Kawaida amefika kukagua na kujionea shule mpya ya msingi Saashisha iliyopo wilaya ya Hai iliyojengwa na serikali kwa gharama zaidi ya shilingi milioni 540.

Akizungumza baada ya kufika shuleni hapo, Kawaida amesema kwa kipindi kirefu jimbo la Hai lilikua na mbunge ambaye hakuelewa mahitaji ya watu wake na ndio mana maendeleo mengi yamefanyika kipindi hiki ambacho mbunge anatokana na chama cha mapinduzi.

Mbunge wa jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe amemshkuru rais Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kutoa fedha za ujenzi wa shule hiyo kwa watoto walikua wanatembea umbali wa Km 8 kufuata shule ya Hai Day.

Kwani mbunge akiwa CCM au CUF au CHADEMA, pesa inayojenga shule, hospitali, barabara inatoka wapi?

Kama pesa inatoka CCM, kwa nini CCM hawakujenga hizo shule wakati ambapo hawakuwa na mbunge?

Nchi imejaa watu wajinga, wanaokngoza na wanaoongozwa...

Kuna wakati unaona kabisa wenye dhamana wanaongopa kwa wanaotoa dhamana, na watoa dhamana wanashangilia...

Ujinga mwingi sana!
 
Hatuwezi kujadili vijana walokosa maadili na malezi bora...siasa sio uhuni!!!
Shule/miundombinu inajengwa na kodi za wananchi alafu inapewa jina binafsi la mtu kama vile nimali yake binafsi niupuuzi utaoukuta zaidi Tz.
Tukipata mabadiliko mali zote za serikali zenye majina ya watu zifutwe majina abaki Nyerere na Karume waasisi wa taifa lkn wengine wooote futilia mbali ujinga.
Soko/stand kuuubwa inaitwa jina lamtu aloliharibu taifa na alojiuzulu Kwa uropokaji na utendaji mbovu kama dikiteta mwendazake na mpanikiji ndugu yai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom