mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Karibu sana, Ila tu mimi si Kaka ni Dada, nimekusamehe bila malipo
Nashukuru kwa taarifa mkuu lakini kwenye post yako umesema kati ya waliopatwa na hili tatizo ni mke wako na hapa unasema wewe nidada umenichanganya