sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Naunga mkono hoja. Nguo na viatu from Nairobi ni very kiwango.
Kuna jamaa wapo Kinondoni nawajua huwa wanaleta nguo za kiume na kidogo za kike kutoka Nairobi, unajua Nairobi wana nguo nzuri sana na viatu and at a very reasonable price