JF Men Talks . . . This and That . . . .

kwasababu tunawapenda na bila cc mafanikio kwenu ni kidogo sana,sawa tunategemeana but mnatutegemea zaidi
quote_icon.png
Originally Posted by TANMO
Hawa washika viwembe mbona wamejaa humu?
juzi walinikosa kosa na viwembe vyao nilipoingia kule kwao kwa bahati mbaya hawa,,
Leo wamechukua nafasi ya akina Baba hapa, Lol..............
 
ah ah ah usijali nimeiona lkn mi bado mdogo mda ukifika tu jamaa atafika bei na atajua kuwa namfaa zana si unajua mambo mengine ya interview ni ya kichumbani zaidi,sasa niliyenae ni wa kitanga anaanzia wali na chapai za nazi,then tunaenda kucheza mdumange hukoooooooooooooooooooo
Khaaaaa . . . poa bana. Kuwa mpole basi . . . . No.8 si umeiona? Au kwa kuwa uko single and not searching . . .
 
Ushauri wangu ni kwa wanaume wenzangu kuzingatia suala la kushirikisha mwili kwenye mazoezi ya mara kwa mara pamoja na kuzingatia mambo ya lishe Bora ili kuepuka kuota vitambi, Ulabu pia tuupige kwa staha mazee (kwa wale mnaotumia) pamoja na kitimoto, ili tuweze kuzitimizia mahitaji muhimu familia zetu (kwa wenye familia). Kingine kwa majanki wenzangu, tujifunze kuwa really manake utakuta mtu hana kitu lakini kujionesha kuwa ni kidume bora basi yuko radhi kukopa hela ili ampeleke manzi yake sehemu za matawi ya juu, mwisho wa siku uzee unatusubiri wakuu, kuna majukumu ya kifamilia inabidi tuanze kujiandaa ingali bado mapema.

Oooops, nadhani nimetoa maelezo nje ya mwongozo uliotoa mkuu Superman, niwie radhi kwa hilo...

Nakuaminia kijana wangu, umenigusa.

Mazoezi si lazima uende Gym kama huna muda, hata kukimbia, au kubeba vyuma vitu vizito, kutembea jioni au asubuhi, kuendesha baiskeli, kuruka kamba nk.

Lishe bora imekaa vema. Si lazima nyama choma saaana na ulabu. Hata supu ya mchicha au maharagwe ambaavyo havina chorestral au fat could mean a lot

Kitimoto actually medically ilishakuwa proved kuwa wana vimelea vingi sana vya magonjwa. So kazi ipo hapo . . .

La mwisho limekaa vema. Hapa ni mwendo wa ujasiliamaali na ubunifu kwenda mbele. Pia kuwa na kiasi vinginevyo ufisadi utawakaa akilini au kuja kujenga nyumba nzuri, kuendesha gari nzuri na kuwa na great family itakuwa ni ndoto tu.
 
DA niaje?<br />
<br />
Why?<br />
<br />
Kuna watu bado wanafikiri siku hizi kuwa na gari ni utajiri kumbe wala siyo.<br />
<br />
Kama ni mtu wa Budget unaweza kununua Vitz kwa bei chini ya $ 500 toka Japani. badala ya kuanzia $ 1500 kama wengi wanavyouza<br />
<br />
Ukanunua Range Rover Sports Supercharger kwa bei isiyozidi $ 30,000 badala ya kuanzia $ 100,000<br />
<br />
BMW X5/X6 kwa bei ya wastani wa $ 15-20,000 badala ya kuanzia $ 50,000<br />
<br />
Bei zote ni FoB.<br />
<br />
My favourates ni:<br />
<br />
<a href="http://www.japanesevehicles.com" target="_blank">www.japanesevehicles.com</a> - Ukitaka quality grade lakini bei juu kiasi<br />
<a href="http://www.Beforward.jp" target="_blank">www.Beforward.jp</a> - Ukitaka bei poa za kutupa lakini gari nzuri.<br />
<a href="http://www.tradecareview.com" target="_blank">www.tradecareview.com</a> - Web portal ya site nyingi. Kuwa makini tumia paytrade<br />
<a href="http://www.sakura-automobiles.com" target="_blank">www.sakura-automobiles.com</a> - Ukitaka mabasi kwa bei poa
<br />
<br />
Asante kwa taarifa ila mnatufukuza kwenye thread yenu., wabaya nyie
 
muache kuwatolea macho hasa kwenye manyonyoz,titiz,miguuz and makalioz am out msinipige bureeeeeeeeee

Duh! Wewe ni noma sana Pearl . . . ndo zenu hizo nini? labda display za low cutting zimekuwa nyingi plus vimini vya kubana na vifupi juu ya magozi nk.

Ngoja tuongee tuone tutaepuka vipi haya mambo.
 
Yaa, naona wamejaa tele humu, hata zaidi ya walengwa.......
Tuwatoe nduki kama vipi,,,, Lol

Uzuri wake sisi hatufungi vibwebwe au kutiana visukuo . . . lol

Ni hoja bin hoja . . . Haluuuuuuuuuuuuuu
 
Mkuu hawa jamaa nafikiri huwa wanauza nguo kwa sababu ya designer nakumbuka tulienda kununua suti za harusi just because designer wa suti ni NEXT basi bei yake sitaki kusema siku hiyo niliona mbona balaa lakini kitu ukiisha kivaa mwilini unasahau hata kama ulinunua laki 5, wana selection nzuri ya viatu nilishangaa nilipopata viatu vya jamaa wanaitwa RIVER ISLAND.

Mkuu next time ukitaka kwenda ni PM.

Namjua mtoto wa Owner ambaye ni msimamizi. Kuna vidiscount fulani vya kishikaji viko poa.

Halafu pia kuna duka karibu na Rozana samora na lile opposite Mavuno House. Liko poa pia.
 
kwasababu tunawapenda na bila cc mafanikio kwenu ni kidogo sana,sawa tunategemeana but mnatutegemea zaidi
quote_icon.png
Originally Posted by TANMO
Hawa washika viwembe mbona wamejaa humu?
juzi walinikosa kosa na viwembe vyao nilipoingia kule kwao kwa bahati mbaya hawa,,
Leo wamechukua nafasi ya akina Baba hapa, Lol..............

Jamani . . . mara Wanawake Tunaweza Tukiwezeshwa . . .

Mara . . For every Successful Man, there is a Woman behind etc etc

Which is which now?
 
si mniulize mm karume pale namchukulia Mr boxer,vest shirt na suruali kwa jero?mbn anatoka pamba tu?mpaka mkamuone mtoto wa owner ya nn yote hayo?
Mkuu next time ukitaka kwenda ni PM.

Namjua mtoto wa Owner ambaye ni msimamizi. Kuna vidiscount fulani vya kishikaji viko poa.

Halafu pia kuna duka karibu na Rozana samora na lile opposite Mavuno House. Liko poa pia.
 
ah ah ah usijali nimeiona lkn mi bado mdogo mda ukifika tu jamaa atafika bei na atajua kuwa namfaa zana si unajua mambo mengine ya interview ni ya kichumbani zaidi,sasa niliyenae ni wa kitanga anaanzia wali na chapai za nazi,then tunaenda kucheza mdumange hukoooooooooooooooooooo

I hope wewe si Mwanajeshi maana Wanaume Mabwege bado wapo . . .

Look bana, uzuri wa Mwanamke Ni tabia. Si uzuri wa umbo wala uzuri wa sura.
 
Back
Top Bottom