Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #21
Namba tatu imeniacha hoi
DA niaje?
Why?
Kuna watu bado wanafikiri siku hizi kuwa na gari ni utajiri kumbe wala siyo.
Kama ni mtu wa Budget unaweza kununua Vitz kwa bei chini ya $ 500 toka Japani. badala ya kuanzia $ 1500 kama wengi wanavyouza
Ukanunua Range Rover Sports Supercharger kwa bei isiyozidi $ 30,000 badala ya kuanzia $ 100,000
BMW X5/X6 kwa bei ya wastani wa $ 15-20,000 badala ya kuanzia $ 50,000
Bei zote ni FoB.
My favourates ni:
www.japanesevehicles.com - Ukitaka quality grade lakini bei juu kiasi
www.Beforward.jp - Ukitaka bei poa za kutupa lakini gari nzuri.
www.tradecareview.com - Web portal ya site nyingi. Kuwa makini tumia paytrade
www.sakura-automobiles.com - Ukitaka mabasi kwa bei poa